-
Iran kutumia diplomasia amilifu kukabiliana na vitisho vya utawala wa Kizayuni
Oct 14, 2024 07:30Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, diplomasia amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko uwanjani kwa lengo la kunufaika na suhula na uwezo wote uliopo kwa ajili ya kukabiliana na vitisho hatari vya utawala ghasibu wa Israel.
-
Iran yatoa onyo: Marekani inahatarisha maisha ya askari wake kwa kuwapeleka Israel
Oct 14, 2024 02:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ameionya Marekani dhidi ya kupeleka wanajeshi wake Israel kwa ajili ya kuendesha mitambo yake ya kutungulia makombora, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina "mistari myekundu" katika kulinda maslahi yake.
-
Ghalibaf: Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kusitisha ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi na utawala wa Kizayuni
Oct 13, 2024 22:53Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tunahitaji kukkomesha aina yoyote ya ushirikiano, msaada na mazungumzo na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusimamisha aina yoyote ya mpango wa kisiasa na kiuchumi unaousaidia utawala huo.
-
Araqchi akanusha Iran kuipatia Russia makombora ya balistiki
Oct 13, 2024 09:28Iran kwa mara nyingine tena imekadhibisha madai kuhusu kuipatia Russia makombora ya balistiki kufuatia ripoti kwamba Umoja wa Ulaya utatumia tuhuma hizo kama kisingizio cha kuwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mkakati wa Iran ni kuunga mkono muqawama na kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni za kuibua mivutano katika eneo
Oct 13, 2024 08:02Mkakati wa siku zote wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuunga mkono muqawama kwa lengo la kukabiliana na siasa za utawala wa Kizayuni za kuibua vita na migogoro katika eneo.
-
Iran yakanusha madai ya kuhusika na operesheni ya Wapalestina ya Kimbunga cha Al Aqsa
Oct 13, 2024 03:40Ujumbe wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na taarifa kuhusu Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyotekelezwa mwaka jana na wapigania ukombozi wa Palestina dhidi ya utawala wa Israel.
-
Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa nchi zitakazokubali kutumiwa kutushambulia
Oct 12, 2024 23:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo dhidi ya nchi ambazo zitaruhusu anga na ardhi zao zitumiwe kulishambulia taifa hili.
-
Iran kujenga hospitali nyingine nchini Lebanon baada ya Israel kushambulia hospitali ya IRCS
Oct 12, 2024 22:45Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran (IRCS) ametangaza mipango ya kuanzisha hospitali mpya ya kuwahudumia Walebanoni walioathiriwa na vita yya kikatili vya Israel.
-
Rais wa Iran: Vyuo vikuu vinapasa kuifikisha nchi katika kilele cha sayansi na teknolojia
Oct 12, 2024 09:31Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa chuo kikuu kinapasa kuiweka nchi katika kilele sayansi na teknolojia.
-
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) awasili mjini Beirut, Lebanon
Oct 12, 2024 08:18Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ambaye yupo njiani kuelekea Geneva kushiriki Mkutano wa Kilele wa Mabunge ya Dunia, amewasili mjini Beirut kabla ya kuelekea Uswisi kwa ajili ya kuonana na kuzungumza na viongozi wa Lebanon na kutangaza uungaji mkono wake kwa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.