-
Rais wa Iran: Amani inapasa kuchukua nafasi ya vita duniani
Sep 23, 2024 23:58Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, amani na usalama vinapaswa kuchukua nafasi ya vita na umwagaji damu duniani. Rais Masoud Pezeshkian amesema hayo alipoona na wakurugenzi waandamizi wa vyombo vya habari vya Marekani mjini New York na kubainisha kwamba, Iran sio kama vyombo vya habari vya dunia vinavyoinyesha na tuko tayari kuishi kwa amani na usalama na dunia nzima.
-
Iran kurusha satelaiti 7 mpya katika anga za mbali
Sep 23, 2024 22:49Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Iran (ISA) amesema Jamhuri ya Kiislamu inapanga kutuma katika anga za mbali satelaiti tano hadi saba zilizotengenezwa ndani ya nchi. Operesheni hizo zitatekelezwa kabla ya kumalizika mwaka wa sasa wa kalenda ya Iran unaoishia tarehe 20 Machi 2025.
-
Watafiti wa Kiirani wafanikiwa kuainisha sehemu sahihi ya tishu ya saratani
Sep 23, 2024 22:49Wataalamu wa teknolojia na watafiti wa Iran wamefanikiwa kutengeneza bidhaa inayotambua eneo halisi la uvimbe na kurahisisha kuondoa tishu za saratani.
-
Nasser Kanani: Israel haitarejea katika kipindi cha kabla ya Kimbunga cha al Aqsa
Sep 23, 2024 08:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mlingano wa kistratijia katika eneo baada ya operesheni dhidi ya Uzayuni ya Kimbunga cha Al-Aqsa kuwa ulikuwa kwa manufaa ya Wapalestina na makundi ya muqawama. Amesema utawala wa Israel hautarejea katika hali uliyokuwa nayo kabla ya Kimbunga cha al Aqsa.
-
Rais wa Iran asema undumakuwili wa nchi za Magharibi ni sababu kuu za vita, mauaji
Sep 23, 2024 08:18Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amelaani misimamo ya undumakuwili ya nchi za Magharibi ambayo amesema imesababisha kuenea kwa umwagaji damu na vita duniani kote.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Saudi Arabia wakutana na kushauriana mjini New York
Sep 23, 2024 03:41Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wamezungumzia hali mbaya ya Ukanda wa Gaza iliyosababishwa na kuendelea kwa mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala katili wa Kizayuni.
-
Mlipuko mgodini waua watu 51, na kujeruhi 20 katika mkoa wa Khorasan Kusini, Iran
Sep 22, 2024 08:49Zaidi ya watu 50 wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa kutokana na mlipuko mkubwa uliosababishwa na uvujaji wa gesi kwenye mgodi wa makaa ya mawe katika mkoa wa Khorasan Kusini Mashariki mwa Iran.
-
Tathmini ya pande tofauti za safari ya Rais Pezeshkian mjini New York na kushiriki kwake katika kikao cha UNGA
Sep 22, 2024 06:33Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka leo Jumapili mjini Tehran kuelekea New York kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kushauriana na viongozi wa nchi mbalimbali watakaoshiriki kikao hicho.
-
Rais wa Iran aelekea New York kushiriki katika mkutano wa UNGA
Sep 22, 2024 04:17Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka Tehran na kuelekea New York, Marekani kwa lengo la kushiriki katika mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA.
-
Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani
Sep 22, 2024 03:50Abbas Araghchi, Waziri Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ikiwa mmoja wa wahanga wakuu wa vikwazo vya Marekani, inaelewa kikamilifu hali ya watu wa Cuba, hivyo inaiunga mkono nchi hiyo dhidi ya vikwazo vya nchi hiyo ya Magharibi.