-
Jenerali Mousavi amuonya adui Mzayuni-Mmarekani: Umepiga miundombinu yetu; sasa subiri uone
Mar 28, 2026 04:32Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa matamshi ya kujibu mashambulizi ya adui Marekani-Mzayuni dhidi ya miundombinu ya Iran.
-
Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran
Mar 27, 2026 06:20Iran imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu ripoti za vyombo vya habari zinazofichua mipango ya hila ya Marekani na Israel ya kuwaua maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu, akiwemo Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araghchi, ikielezea vitisho hivyo kama mfano wazi wa ugaidi wa serikali na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.
-
Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani
Mar 27, 2026 05:52Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza utekelezaji wa wimbi 83 la Operesheni Ahadi ya Kweli- 4 mapema leo Ijumaa, kikilenga vituo muhimu vya kijeshi vya Marekani na Israel kote katika eneo la Asia Magharibi kwa makombora na ndege zisizo na rubani.
-
Pezeshkian: Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano
Mar 26, 2026 23:05Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Takribani wanajeshi 800 wa Marekani na Waisraeli 1,300 wameuawa vitani
Mar 26, 2026 22:46Msemaji mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema kuwa, kulingana na makadirio ya kijeshi ya Iran, mamia ya wanajeshi wa Marekani pamoja na zaidi ya Waisraeli 1,300 wameuawa katika vita vinavyoendelea ambavyo, vilianzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran.
-
IRGC yapiga ndege nyingine ya kivita ya Marekani aina ya F-18
Mar 26, 2026 07:19Ndege ya kivita aina ya F-18 ya jeshi la kigaidi la Marekani imepigwa na kutunguliwa kwa kombora la Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kusini mwa nchi.
-
Iran yatoa onyo kali kwa nchi jirani inayoshirikiana na Marekani
Mar 26, 2026 05:36Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kuhusu mpango wa pamoja unaolenga kutwaa kisiwa cha Iran, mpango unaoungwa mkono na mshirika wa kikanda wa maadui.
-
Iran yakataa pendekezo la Marekani, yaweka masharti matano ya kukomesha vita
Mar 26, 2026 04:52Iran imetoa majibu hasi kwa pendekezo la Marekani linalolenga kukomesha vita vinavyoendelea hivi sasa, ikisisitiza kwamba jambo hilo litatokea kwa masharti na ratiba ya Tehran, afisa mkuu wa usalama na kisiasa ameambia Press TV.
-
Aragchi: Iran itaendeleza mapambano dhidi ya maadui
Mar 26, 2026 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametilia mkazo uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu kuendelea na sera ya Muqawama na mapambano dhidi ya wavamizi.
-
Manuwari ya USS Abraham Lincoln yalengwa kwa makombora ya Cruise ya jeshi la Iran
Mar 25, 2026 07:31Makombora ya Qadir ya baharini ya Jeshi la Wanamaji la Iran yameshambulia kundi la meli za kivita za Marekani linaloongozwa na manowari ya Abraham Lincoln na kulilazimisha kukimbia na kubadilisha eneo lake.