-
Mabalozi wa Ujerumani na Uingereza mjini Tehran waitwa Wizara ya Mambo ya Nje
Jul 25, 2024 03:35Kufuatia hatua ya chuki dhidi ya Uislamu ya serikali na polisi wa Ujerumani katika mashambulizi na kufungwa Kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ilipinga kitendo hicho na kumwita balozi wa Ujerumani mjini Tehran kwa ajili ya kutoa maelezo.
-
Iran itarusha satelaiti zaidi katika anga za mbali hivi karibuni
Jul 25, 2024 00:53Mkuu wa Wakala wa Anga za Mbali nchini Iran Hassan Salarieh ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itarusha angalau satelaiti 6 katika anga za mbali kabla ya mwisho wa mwaka huu wa Kiirani.
-
Russia: Tehran na Moscow zinaendelea kuyafanyia kazi makubaliano makubwa ya ushirikiano
Jul 24, 2024 09:34Baada ya kuchapishwa taarifa kuhusu kusimamishwa kwa muda makubaliano ya ushirikiano kati ya Iran na Russia; Dmitry Peskov Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kazi ya kutekeleza makubaliano makubwa kati ya nchi yake na Iran inaendelea lakini ratiba imebadilika kwa sababu ya kufanyika uchaguzi nchini Iran.
-
Makumi ya nchi kushiriki katika sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Iran
Jul 24, 2024 09:18Mjumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe za kumuapisha Rais ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa nchi 60 duniani zimetangaza kuwa zitashiriki katika sherehe za kuapishwa Rais wa Iran wa serikali ya awamu ya 14.
-
Iran yakanusha tuhuma chapwa za Marekani, Uingereza na Ufaransa
Jul 24, 2024 02:58Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Matiafa na kukanusha tuhuma za uongo zilizotolewa na Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa tuhuma hizo zinatokana na chuki za madola hayo kwa taifa la Iran ya Kiislamu.
-
Katika barua kwa kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, vijana wa Ubelgiji: Tumefurahishwa sana na ujumbe wako
Jul 24, 2024 00:05Katika barua yao kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, idadi kubwa ya vijana wa Ubelgiji wamemshukuru Ayatullah Ali Khamenei kwa barua yake ya hivi karibuni ya kuunga mkono maandamano ya kuonyesha mshikamano na watu wa Gaza katika vyuo vikuu vya Marekani na Ulaya na kutangaza kwamba, wameathiriwa sana na ujumbe na wito wake.
-
Iran iko tayari kushirikiana katika mapambano dhidi ya magendo ya madawa ya kulevya
Jul 23, 2024 23:07Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema katika kikao cha Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Kupambana na Madawa ya Kulevya huko Baghdad kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kikamilifu kushirikiana na taasisi na mifumo ya kikanda na kimataifa kuendesha vita dhidi ya mihadarati.
-
Iran yavunja ukiritimba katika bidhaa za nyuklia
Jul 23, 2024 10:16Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Iran imeweza kuvunja ukiritimba katika sekta ya nyuklia huku bidhaa na huduma zake zilizoundwa nchini hivi leo zikiuzwa katika soko la kimataifa.
-
Iran: Kusimama imara watu wa Yemen ni fakhari kwa Umma wa Kiislamu
Jul 23, 2024 03:50Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kusimama imara uongozi, wapiganaji wanajihadi na wananchi wanamuqawama wa Yemen na kuwa bega kwa bega na watu madhulumu wa Palestina katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni hatua ya kihistoria na ya kujivunia kwa Umma wa Kiislamu.
-
IRGC yanasa meli ya 'Togo' ikifanya magendo ya mafuta Ghuba ya Uajemi
Jul 22, 2024 23:27Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limefanikiwa kutwaa meli nyingine ya kigeni ikifanya magendo ya mafuta mengi katika maji ya Ghuba ya Uajemi.