-
Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel
Jul 19, 2024 22:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupinga kuasisiwa taifa huru la Palestina kwa mara nyingine tena imeidhihirishia dunia dhati ya ubaguzi wa rangi ya utawala huo haramu.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Shambulio la ndege zisizo na rubani huko Tel Aviv ni onyo kwa Wazayuni
Jul 19, 2024 09:36Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Shambulio la Yemen dhidi ya Tel Aviv ni onyo linaloitaka Israel ihitimishe mashambulizi ya kinyama ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza.
-
Iran: US ni kizingiti katika kupatiwa ufumbuzi masuala ya ulimwengu
Jul 19, 2024 07:39Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa vikali maamuzi na hatua za mabavu na za upande mmoja zinazochukuliwa na Marekani katika masuala mbali mbali ya dunia akisisitiza kuwa, mwenendo huo unafanya hali ya mambo uliwenguni kuwa mbaya zaidi.
-
Iran yakosoa sera za kindumakuwili za nchi za Magharibi kuhusiana na jinai za Israel
Jul 19, 2024 00:22Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekosoa madai yaliyotolewa dhidi ya Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na misimamo ya kindumakuwili kuhusiana na maripota maalumu wa jumuiya hiyo ya kimataifa.
-
Wabunge kukutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu siku ya Jumapili
Jul 18, 2024 07:31Msemaji wa Bodi ya Uongozi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, wabunge wa bunge jipya watakutana na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Maudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu siku ya Jumapili.
-
Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump
Jul 18, 2024 07:10Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.
-
Iran: Kunyamazia kimya jinai za Wazayuni ni kuhamasisha jinai za wamwagaji damu
Jul 18, 2024 02:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amegusia jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza na kulalamikia vikali kimya cha kuchupa mipaka cha jamii ya Kimataifa mbele ya jinai hizo za Wazayuni.
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama liilazimishe Israel ikomeshe mauaji ya kimbari Gaza
Jul 17, 2024 23:32Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kivitendo za kuulazimisha utawala wa Kizayuni ukomeshe 'mara moja na bila masharti yoyote' mauaji ya kimbari unaoyafanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Uhusiano wa Iran na China katika serikali mpya ya awamu ya 14
Jul 17, 2024 05:07Kufuatia kuchaguliwa Masoud Pezeshkian kuwa rais mpya wa Iran, swali linajotokeza hapa kuwa je, uhusiano wa baadaye kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na China utakuwa vipi katika serikali ya awamu ya 14 ya Tehran.
-
Iran yakanusha madai ya uwongo ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump
Jul 17, 2024 03:58Akijibu baadhi ya ripoti zisizo na msingi zinazodai kuwa Iran imeshiriki katika jaribio la kumuua Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa tuhuma hizo hazina msingi wowote na kwamba ni za kichochezi.