-
Waziri wa Uchumi: Iran imefikia hatua ya ukuaji endelevu wa kiuchumi
May 29, 2024 03:53Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran imefikia hatua ya ukuaji thabiti wa uchumi.
-
Mwanadiplomasia Shahidi Hossein Amir abdollahian
May 29, 2024 03:34Tumeawandalia makala hii ya wiki ambayo itatupia jicho shakhsia ya Shahidi Hossein Amir Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran. Hossein, kama alivyokuwa akisema; ni mtu wa kijijini aliyekuwa akipenda tini, na Mwenyezi Mungu anaapa kwa tini na zeituni katika Qur'ani kwamba wale walioamini na wakatenda mema watapata malipo makubwa Kwake.
-
Kuongezeka biashara ya nje ya Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
May 29, 2024 00:55Takwimu zilizochapishwa na Kituo cha Takwimu cha Umoja wa Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa mabadilishano ya kibiashara kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wanachama 27 wa umoja huo yaliongezeka kwa asilimia 8 katika robo ya kwanza ya mwaka huu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka iliopita.
-
YouTube 'yajigonga' katika dai la uhuru wa maoni kwa kuifunga akaunti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
May 29, 2024 00:10Mtandao wa kijamii wa YouTube umeifuta akaunti rasmi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa kisingizio cha kukiuka kanuni zake kufuatia hatua ya akaunti hiyo kuweka mkanda wa video wa lugha ya Kiingereza wenye anuani "Resistance, the only option for Palestine", yaani Muqawama ndilo chaguo pekee kwa Palestina.
-
Kuanza mchakato nchini Iran wa kufanyika uchaguzi wa Rais wa kabla ya wakati
May 28, 2024 04:59Iran imeanzisha mchakato wa uchaguzi wa mapema wa rais ambao umepangwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Juni.
-
Wabunge wamchagua Qalibaf kuwa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge)
May 28, 2024 04:48Wawakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) wamemchagua Muhammad Bagheri Qalibaf kuwa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu katika mkutano wa kwanza wa bunge la 12.
-
Ali Bagheri Kani: Uhusiano imara miongoni mwa nchi jirani utapelekea kufurushwa nchi vamizi Asia Magharibi
May 28, 2024 04:19Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa uhusiano imara miongoni mwa nchi jirani za kanda hii ni njia pekee ya kuzifurusha nchi vamizi katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman
May 28, 2024 00:54Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano wa Iran na Oman kuwa wa kihistoria na wa kidugu na kusema: Iwapo uwezo uliopo utatumika vizuri, maingiliano ya kiuchumi na kibiashara kati ya Iran na Oman yataongezeka hadi mara kadhaa ya kiwango cha sasa.
-
Kaimu Rais wa Iran: Tunafungamana na mkakati wetu wa kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiislamu
May 27, 2024 09:18Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linafungamana kikamilifu na stratejia na mkakati wake wa kuimarisha ushirikiano wake na mataifa ya Kiislamu.
-
Araqchi: Vitisho vya nyuklia vya Israel huenda vikabadilisha itikadi ya Iran kuhusu nyuklia
May 27, 2024 08:28Katibu wa Baraza la Kistratajia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema kuwa, vitisho vya utawala haramu wa Israel huenda vikaifanya Iran ibadili itikadi yake kuhusiana na kadhia nzima ya nyuklia.