-
Imarati: Mabadiliko katika uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni kwa maslahi ya Asia Magharibi
Mar 22, 2023 12:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) amesema kuwa, mabadiliko yaliyotokea katika uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni chanya na kwamba, hilo ni kwa maslahi ya eneo hili la Asia Magharibi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu akanusha vikali uwepo wa Iran katika vita vya Ukraine
Mar 22, 2023 07:37Tangu kuanza vita vya Ukraine, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikisisitiza ulazima wa Russia na Ukraine kutatua mgogoro huo kwa njia za kisiasa na mazungumzo. Bila shaka, Tehran pia imechukua hatua kadhaa za kivitendo katika uwanja huo.
-
Abdollahian: Iran itajibu mapigo ya vikwazo vipya vya EU na UK
Mar 22, 2023 02:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo kwa hatua ya kujikariri ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuliwekea taifa hili vikwazo.
-
Kiongozi Muadhamu: Maadui wanataka kubadilisha utambilisho wetu
Mar 21, 2023 14:33Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia ya Kimagharibi.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'
Mar 21, 2023 09:08Nguvu ya kiuchumi ni mojawapo ya nguzo muhimu za nguvu ya kitaifa ya nchi yoyote ile, na inachukuliwa kuwa mojawapo ya nguzo muhimu wakati wa kupima uwezo wa nchi. Nguvu ya kitaifa inahusiana moja kwa moja na nguvu ya kiuchumi.
-
Kan'ani: Ujumbe wa Nowruz wa Biden kwa Wairani ni uongo mtupu
Mar 21, 2023 07:39Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu ujumbe wa Nowruz wa Rais wa Marekani, Joe Biden, na kusema ujumbe huo ni madai ya uongo.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'
Mar 21, 2023 03:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia akitoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.
-
Ongezeko la asilimia 20 la mauzo ya bidhaa za Iran kwa nchi jirani
Mar 20, 2023 10:29Msemaji wa Kamisheni ya Ustawi wa Sekta ya Madini na Bishara ya Iran ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kuongeza mauzo ya bidhaa zake katika sketa hiyo kwa nchi jirani kwa asilimia 20.
-
Iran na Iraq zatiliana saini makubaliano ya kuimarisha usalama mipakani
Mar 20, 2023 07:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq zimetiliana sainii makubaliano ya kuimarisha usalama wa mipakani hatua ambayo maafisa wa Baghdad wanasema inalenga hasa kuimarisha usalama wa mpakani na eneo la Kurdistan ya Iraq, ambapo Tehran inasema, makundi yenye silaha yamekuwa tishio kwa usalama wake.
-
Mfalme Salman bin Abdul-Aziz amwalika Rais wa Iran kutembelea Saudi Arabia
Mar 20, 2023 04:23Naibu Mkuu wa ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayohusika na masuala ya kisiasa amesema kuwa, Mfalme wa Saudia Salman bin Abdul-Aziz amemtumia barua ya mwaliko Rais Ibrahim Raisi ili akaitembelee Saudi Arabia.