-
Msemaji wa IRGC: Majibu ya Iran yamemtia kiwewe Donald Trump
Mar 10, 2026 04:14Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amejibu upuuzi na uongo wa Rais Donald Trump wa Marekani akisema: "Rais muongo wa Marekani ametoa madai ya kumaliza nguvu ya vikosi vya jeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili kujaribu kukwepa mashinikizo ya vita na kukomesha hali ya kukata tamaa wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi."
-
Rais wa Iran: Kupunguza mvutano katika eneo kunahitaji kutounga mkono wavamizi
Mar 10, 2026 03:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba juhudi za wale walioanzisha uchokozi dhidi ya Iran zimekuwa zikilenga kupandikiza mifarakano kati ya mataifa jirani. Amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeonyesha utayari wake wa kupunguza mvutano katika eneo hili, mradi tu anga, ardhi na maji ya mataifa jirani yasitumike kama njia ya kushambulia watu wa Iran.
-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
Mar 09, 2026 08:52Miongoni mwa maswali muhimu yanayoulizwa sana wakati huu kuhusu Iran ni kwamba, Ayatullah Mojtaba Husseini Khamenei ni nani? Na kwa nini Baraza la Wataalamu limemchagua kuongoza Iran? Ili kuelewa chaguo hili, lazima kwanza tuangalie utaratibu wa kisheria wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani
Mar 09, 2026 07:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.
-
Jeshi la IRGC latangaza utiifu kwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 07:04Kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Seyed Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema liko tayari kikamilifu kutekeleza amri zake.
-
Wall Street: Kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kunaonyesha kushindwa juhudi za Trump za kuipigisha magoti Iran
Mar 09, 2026 03:46Vyombo vya habari duniani vimeakisi kwa mapana na marefu kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei achaguliwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 08, 2026 22:32Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran limemchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Meja Jenerali Abdullahi: Uwezo wa makombora wa Iran ni zaidi ya mawazo ya adui
Mar 08, 2026 09:23Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema majeshi ya ulinzi ya Iran yamejitayarisha kikamilifu kuendeleza mapambano dhidi ya adui na kwamba adui atapata jibu la makosa yake uwanjani na kwenye medani ya vita.
-
Siku ya tisa ya vita; Iran yaendeleza mawimbi ya makombora na ndege zisizo na rubani
Mar 08, 2026 06:23Katika siku ya tisa ya uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alfajiri ya leo limetangaza kutekelezwa kwa mawimbi mapya ya Operesheni ya kulipiza kisasi ya ‘Ahadi ya Kweli 4’
-
Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran
Mar 08, 2026 04:13Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.