-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya IRGC lilikuwa onyo dhidi ya Wazayuni
Jan 19, 2024 10:28Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema shambulio la makombora la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala haramu wa Israel (Mossad) katika eneo la Kurdistan ya Iraq limetoa onyo kali mkabala wa tishio la Wazayuni.
-
Iran yakosoa taarifa ya Arab League, yasema itaendelea kuwaadhibu watenda jinai
Jan 19, 2024 08:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali taarifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kufanya shambulio la makombora dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad katika eneo la Kurdistan ya Iraq.
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran kushiriki mkutano wa NAM Uganda
Jan 19, 2024 00:01Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kwenda Kampala, mji mkuu wa Uganda kuhudhuria Mkutano wa 19 wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).
-
Iran yaikosoa US kwa kuiweka Ansarullah katika orodha ya 'ugaidi'
Jan 19, 2024 00:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hatua ya Marekani ya kuiweka Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya kile inachokiita "makundi ya kigaidi" na kueleza kwamba, kitendo hicho ni katika mfululizo wa hatua za Washington za kuuunga mkono utawala wa kigaidi wa Israel.
-
Balozi mdogo wa Pakistan Tehran aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
Jan 18, 2024 05:58Balozi mdogo wa Pakistan mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kufuatia mlipuko uliotokea leo asubuhi katika kijiji cha mpakani katika mkoa wa Sistan na Baluchistan hapa nchini.
-
Watu saba wasio raia wa Iran wauawa katika miripuko iliyotokea kusini mashariki mwa nchi
Jan 18, 2024 03:41Watu saba wasio raia wa Iran wameuawa katika miripuko kadhaa iliyotokea katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini mashariki mwa nchi.
-
Iran: Marekani na Israel ndizo sababu kuu za ukosefu wa usalama Magharibi mwa Asia
Jan 17, 2024 10:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani na Israel ndizo chanzo kikuu cha ukosefu wa usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Umuhimu wa uchaguzi katika mustakbali wa nchi na kushindwa njama za maadui wa Iran ya Kiislamu
Jan 17, 2024 08:01Uchaguzi wa awamu ya kumi na mbili ya Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu ya Iran (Bunge) na awamu ya sita ya Wanazuoni Wataalamu wa Kumchagua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi utafanyika tarehe Pili Marchi mwaka huu nchini Iran katika huku hali ya ndani na ya kimataifa ikizidisha maradufu umuhimu na udharura wake.
-
Marekani yatiwa kiwewe na shambulio la IRGC dhidi ya kituo cha Mossad
Jan 16, 2024 23:08Maafisa wa Marekani wameghadhabishwa mno na hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) kufanya shambulio la makombora dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad katika eneo la Kurdistan ya Iraq.
-
Kiongozi Muadhamu: Watu waliodhulumiwa wa Gaza wameweza kuathiri ulimwengu kwa mapambano yao
Jan 16, 2024 11:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maimamu wa Swala za Ijumaa kote Iran kuwa: Watu madhulumu na wenye nguvu wa Gaza wameweza kuwaathiri walimwengu kwa mapambano yao.