-
Operesheni ya IRGC dhidi ya magaidi ni kutetea raia na mamlaka ya kujitawala Iran
Jan 16, 2024 11:34Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema mashambulizi yaliyofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) dhidi ya ngome za magaidi nchini Syria na kituo cha ujasusi cha utawala wa Israel nchini Iraq ni sehemu ya "adhabu ya haki" dhidi ya wanaokiuka usalama wa Iran baada ya shambulio baya la kigaidi katika mji wa Kerman.
-
Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar
Jan 16, 2024 03:35Waziri wa Barabara na Maendeleo ya Miji wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa India wamekubaliana kuendeleza Bandari ya Chabahar, iliyoko katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, Kusini Mashariki mwa Iran.
-
Makombora ya IRGC yazitwanga ngome za magaidi Syria na kituo cha ujasusi cha Mossad Kurdistan ya Iraq
Jan 16, 2024 00:40Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, limevurumisha makombora ya balestiki kulenga ngome za magaidi wa Syria, waliohusika katika mashambulizi ya hivi karibuni nchini Iran, pamoja na kituo cha ujasusi cha Israel katika eneo la Kurdistan ya Iraq.
-
Abdollahian azionya Marekani na Uingereza: Komesheni mara moja vita dhidi ya Yemen
Jan 15, 2024 23:48Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezionya Marekani na Uingereza na kuzitaka zisitishe mara moja vita dhidi ya Yemen.
-
Raisi: Hujuma za Marekani dhidi ya Yemen zimefichua dhati yake ya shari
Jan 15, 2024 04:35Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Yemen na kusema kuwa, hujuma hizo zimefichua dhati ya Washington ya kupenda shari, chokochoko na kukanyaga haki za binadamu.
-
Amir-Abdollahian: Makundi ya muqawama katika eneo hili yanafanya mambo yao kwa uhuru
Jan 15, 2024 04:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni umeshindwa kufanikisha lengo lake hata moja katika uvamizi wake dhidi ya Ghaza na kusisitiza kuwa, makundi ya muqawama katika ukanda huu ikiwemo Yemen yanafanya mambo yao kwa uhuru na kwa kuzingatia maslahi yao, si kwa amri kutoka kwa upande wowote mwingine.
-
Ebrahim Raisi: Palestina ni kadhia ya kwanza ya ulimwengu
Jan 14, 2024 10:00Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Palestina imegeuka na kuwa kadhia ya kwanza ulimwengu wa mwanadamu.
-
Abdollahian: Kama Marekani inataka amani, iache kuunga mkono jinai za Israel
Jan 12, 2024 23:39Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuacha mara moja kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni badala ya kufanya mashambulizi nchini Yemen kwani hiyo ndiyo njia pekee ya kupatikana amani kwenye kona zote za ukanda huu.
-
Abu Turabi Fard: Leo Yemen inaungwa mkono kila upande; Ghaza haishindiki
Jan 12, 2024 08:26Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema kuwa, leo hii Yemen shujaa inaungwa mkono kila upande na kwamba licha ya kupita siku 100 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe jinai zake kila upande lakini imeshindwa kufikia malengo yake huko Ghaza.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake wa Saudia na Norway kuhusu Gaza
Jan 12, 2024 04:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia na Norway kuhusiana na kupanua uhusiano wa pande mbili na matukio yanayojiri katika Ukanda wa Gaza.