-
Qalibaf: Vita vya karibuni vya kigaidi dhidi ya Iran vinafanana na shambulio la pager la Israel huko Lebanon
Jan 19, 2026 08:05Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Muhammad Baqer Qalibaf amesema kuwa "Vita vya kigaidi vya mtindo wa Daesh" vya hivi karibuni hapa nchini vilikuwa na malengo sawa na ya shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Lebanon mwezi Septemba mwaka 2024.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq; njia ya pamoja ya kufikia utulivu endelevu katika eneo
Jan 19, 2026 03:56Viongozi wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq wamesisitiza umuhimu wa kustawishwa na kuimarishwa ushirikiano wa pamoja baina ya nchi mbili kwa shabaha ya kudhamini uthabiti wa eneo.
-
Iran yawakamata vinara 300 wa ghasia zilizochochewa kutoka nje ya nchi
Jan 19, 2026 03:49Wizara ya Usalama ya Iran imesema kuwa zaidi ya watu 300 ambao ni vinara wakuu na waratibu wa ghasia za hivi karibun nchini, ghasia ambazo zimechochewa na madola ya kigeni, wamekamatwa.
-
Uzalishaji na mauzo ya nje ya chuma Iran yaongezeka kwa asilimia 27
Jan 19, 2026 03:49Iran imeripoti ongezeko kubwa la mauzo yake ya nje ya chuma na chuma ghafi katika kipindi cha miezi tisa kilichomalizika mwishoni mwa Desemba, hatua inayoendana na juhudi za nchi hiyo kupanua vyanzo vyake vya mapato nje ya mafuta.
-
Rais Pezeshkian: Shambulio lolote dhidi ya Ayatullah Khamenei ni vita 'kamili' na taifa la Iran
Jan 18, 2026 23:41Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei litakuwa "vita kamili" na taifa la Iran.
-
Iran: Kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad ni ishara ya kuimarisha mamlaka ya kujitawala ya Iraq
Jan 18, 2026 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekaribisha kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad kwa vikosi vya jeshi la Iraq na kuitaja hatua hiyo kuwa ishara ya kuimarishwa utuvulivu na mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
Mahakama ya Iran kuwaadhibu vikali wahusika wa machafuko
Jan 18, 2026 09:07Mahakama ya Iran imesema itawafikisha mahakamani watu wote waliohusika katika kusababisha vifo vya watu wakati wa machafuko ya hivi karibuni nchini kote, ikiahidi adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia.
-
Kwa nini nchi za eneo zinataka kudumishwa utulivu na uthabiti nchini Iran?
Jan 18, 2026 07:22Machafuko ya hivi karibuni nchini Iran na tishio la Trump kuishambulia kijeshi Iran ikiwa ni katika madai ya kuwaunga mkono wanaojiita waandamanaji vimezifanya nchi za eneo kuwa na wasiwasi mkubwa.
-
Rezaei: Tutazishughulikia balozi za Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kwa kufanya uhalifu Iran
Jan 18, 2026 03:34Msemaji wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Bunge la Iran amesema: Mabalozi wa nchi kama vile Ujerumani, Uingereza na Ufaransa ndio waliochochea ghasia na kusimamia vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni nchini Iran na kwamba Tehran itazishughulikia balozi hizo.
-
Iran yavunja rekodi ya uzalishaji wa gesi asilia
Jan 18, 2026 03:33Shirika la Taifa la Gesi la Iran limetangaza kuwa, limeweka rekodi mpya ya uzalishaji wa kila siku wa gesi asilia, sambamba na kuongezeka mahitaji ya familia, mitambo ya umeme na matumizi ya viwandani ya nishati hiyo muhimu.