-
Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel
Mar 29, 2026 05:57Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran limeratibiwa kwa namna ambayo linaharakisha kusambaratika jeshi la Israel.
-
Baqaei: Mashambulizi dhidi ya vyuo vikuu yanaonyesha chuki ya adui kwa maendeleo ya kisayansi ya Wairani
Mar 29, 2026 05:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai za adui za kuvishambulia vyuo viku na vituo vya elimu nchini Iran.
-
Mashambulizi ya Iran yaua au kujeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani waliokuwa wamejificha UAE
Mar 29, 2026 03:23Jeshi la Iran lilitangaza siku ya Jumamosi kuwa vikosi vyake vimeua au kuwajeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mashambulizi yaliyolenga maficho mawili ya Marekani huko Dubai.
-
Iran yatafakari kujiondoa mkataba wa nyuklia wa NPT
Mar 29, 2026 01:06Ripoti zinaonyesha kuwa suala la kujiondoa katika Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) sasa limewekwa katika ajenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais wa Iran, aonya kuwa Israel inalenga kueneza vita katika kanda ya Asia Magharibi
Mar 29, 2026 01:05Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameonya katika mazungumzo yake ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan, kuhusu malengo hatari ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupanua vita hadi nchi nyingine za kanda ya Asia Magharibi.
-
Vita vya kichokozi vya Israel na Marekani dhidi ya Iran na msimamo hasi wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 28, 2026 08:16Asubuhi ya Jumamosi, Februari 28, 2026, Israel na Marekani zilianza rasmi kuishambulia Iran kwa pamoja ambapo mwanzoni kabisa mwa shambulio hilo, zilimuua shahidi Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mauaji hayo ya kigaidi yalitekelezwa huku mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani yakiendelea.
-
Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel
Mar 27, 2026 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyofanywa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu,” ya uhalifu wa kivita unaofanywa na muungano wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
-
Iran yazamisha boti za kivita na kuua magaidi kadhaa wa jeshi la Marekani katika wimbi la 84, Ahadi ya Kweli4
Mar 28, 2026 05:44Idara ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: "Meli kadhaa za kivita za jeshi gaidi la Marekani zimezamishwa majini, na idadi kubwa ya wanajeshi kuuawa katika wimbi la 84 "la Operesheni Ahadi ya Kweli 4."
-
Jenerali Mousavi amuonya adui Mzayuni-Mmarekani: Umepiga miundombinu yetu; sasa subiri uone
Mar 28, 2026 04:32Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa matamshi ya kujibu mashambulizi ya adui Marekani-Mzayuni dhidi ya miundombinu ya Iran.
-
Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran
Mar 27, 2026 06:20Iran imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu ripoti za vyombo vya habari zinazofichua mipango ya hila ya Marekani na Israel ya kuwaua maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu, akiwemo Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araghchi, ikielezea vitisho hivyo kama mfano wazi wa ugaidi wa serikali na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.