-
Iran yasema mapatano na Marekani bado hayajafikiwa, yakataa mabavu ya Trump
May 30, 2026 11:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza kuwa Tehran haikubali lugha ya mabavu.
-
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aonya: Trump anaisaliti diplomasia kwa mara ya tatu
May 30, 2026 10:59Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaisaliti diplomasia na kuupa nafasi mwelekeo wa vita kwa mara ya tatu, kutokana na kile alichokitaja kuwa ni hatua zake za kichokozi.
-
Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
May 30, 2026 04:50Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani
May 29, 2026 13:08Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika” katika eneo la Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran vimedhihirisha kuwa Marekani imepoteza uwezo wa kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika Asia ya Magharibi.
-
'Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha': Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani
May 29, 2026 12:40Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha.
-
Iran yadungua ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Bushehr
May 29, 2026 03:20Jeshi la Iran limedungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokiuka anga ya Jamhuri ya Kiislamu karibu na mji wa kusini wa Bushehr.
-
Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati
May 29, 2026 03:18Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.
-
IRGC yasimamia kupita salama meli nyingine 26 katika Mlango wa Hormuz
May 29, 2026 02:54Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema meli 26 za kibiashara na meli za mafuta zimevuka Mlango-Bahari wa Hormuz katika muda wa saa 24 zilizopita baada ya kuratibu na kikosi chake cha wanamaji, na kuonya kwamba jaribio lolote la kuvuruga au kifungu njia hiyo ya bahari ya kimkakati litakabiliwa na jibu kali.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa
May 28, 2026 12:46Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.
-
IRGC: Kituo cha uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kimelengwa; uchokozi ukirudiwa, jibu litakuwa kali zaidi
May 28, 2026 10:06Idara ya Mahusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: Kituo cha anga cha Marekani kilichotumiwa kufanya uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kusini mwa Iran, kimelengwa alfajiri ya leo Alkhamisi saa 10:50.