-
Qalibaf: Jaribio la mapinduzi na ugaidi wa karibuni ni mwendelezo wa Vita vya Siku 12
Jan 23, 2026 03:49Spika wa Bunge la Iran amesema kwamba vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni nchini Iran vilikuwa kiungo cha mwisho cha Vita vya Siku 12, na kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziliwaunga mkono magaidi waliowaua raia wa Iran, polisi na askari usalama.
-
Iran, mshirika mkuu wa kibiashara wa Afghanistan; uagizaji wa Kabul kutoka Tehran wapanda hadi dola bilioni 3.45
Jan 23, 2026 03:20Kiwango cha mabadilishano ya biashara kati ya Iran na Afghanistan kinaongezeka. Serikali ya Taliban imetangaza kuwa, uhusiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan umeongezeka hadi dola bilioni tatu na nusu.
-
Risasi za Israel zapatikana katika miili ya watoto waliouawa wakati wa ghasia hivi karibuni Iran
Jan 22, 2026 10:33Risasi za kiwango cha kijeshi zinazohusishwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel zimepatikana katika uchunguzi wa kitabibu wa miili ya watoto waliouawa na magaidi wakati wa ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na serikali za kigeni nchini Iran
-
Jeshi la Iran la IRGC laionya Marekani na Israel dhidi ya makosa yoyote ya kimahesabu
Jan 22, 2026 10:33Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amewaonya maadui dhidi ya kufanya makosa yoyote ya kimahesabu, akisisitiza kwamba vikosi vyake viko tayari kutekeleza maagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.
-
Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amuonya vikali Trump
Jan 22, 2026 06:56Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran amemuonya vikali Rais Donald Trump wa Marekani kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni ya vitisho dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Iran yatangaza idadi ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na maajinabi
Jan 22, 2026 06:02Wakfu wa Mashahidi na Maveterani wa Iran umetangaza katika taarifa kwamba, "katika vitendo vya hivi karibuni vya ugaidi vilivyoungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, watu 3117 walipoteza maisha yao, wakiwemo raia na maafisa usalama."
-
Araghchi aionya Marekani: Shambulio lolote jipya dhidi ya Iran litakabiliwa na jibu kali
Jan 22, 2026 03:09Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utakabiliwa na jibu kali na la uhakika.
-
Bahreini: Iran haitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa matumizi ya amani
Jan 21, 2026 10:42Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza kwamba, taifa hili halitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya matumizi ya amani.
-
Kwa nini Iran inatilia mkazo kuhusu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya malengo ya amani?
Jan 21, 2026 10:02Iran imetangaza kuwa abadan haitaacha haki yake ya kurutubisha madini ya urani kwa malengo ya kiraia.
-
Araqchi: Tatizo la sasa la Ulaya ni matokeo ya usaliti wake wa huko nyuma dhidi ya Iran
Jan 21, 2026 07:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Ulaya sasa inasumbuliwa na matokeo ya usaliti wake wa zamani kwa Iran na inakabiliwa na unyanyasaji kama huo kutoka kwa Marekani.