-
Pezeshkian amweleza Erdogan: Iran inapinga vitisho, inaunga mkono mazungumzo na diplomasia
Jan 30, 2026 23:27Iran inapinga vitisho na kushurutishwa na ina azma thabiti ya kufanya mazungumzo, kuheshimiana pande mbili na kutekelezwa diplomasia kwa manufaa ya pande zote. Haya yameelezwa na Rais Masoud Pezeshkian huku Washington ikiendelea kutoa vitisho vya kijeshi dhidi ya Tehran.
-
Araqchi: Iran iko tayari kwa vita na mazungumzo
Jan 30, 2026 23:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema kuwa Tehran iko tayari kwa vita na mazungumzo lakini haitakubali kuwekewa masharti. Araqchi ameeleza haya kufuatia vitisho vya kijeshi vya Washington dhidi ya Tehran.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani haiwezi kukariri upumbavu wa huko nyuma
Jan 30, 2026 09:12Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema: "Vita vya siku 12 viliiweka Iran katika nafasi maalum na ya kipekee ya nguvu, na nina uhakika kwamba Marekani haiwezi kukariri upumbavu wa huko nyuma.
-
Rais Pezeshkian: Iran haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu kali kwa uvamizi wowote dhidi yake
Jan 30, 2026 08:12Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikaribishi vita, lakini itatoa jibu kali na la haraka kwa uvamizi wowote dhidi yake.
-
Spika wa Bunge la Iran: Jeshi la SEPAH ndio mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jan 30, 2026 07:55Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesema kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) ni mojawapo ya vikosi imarai na vyenye ufanisi zaidi vya kupambana na ugaidi duniani.
-
'Hakuna vita vya masaa 2', yasema Iran ikiapa kutoa jibu la haraka kwa uchokozi wa US au Israel
Jan 30, 2026 04:17Jeshi la Iran limetoa onyo kali kwamba kitendo chochote kipya cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kitakabiliwa na jibu kali na la haraka, likisisitiza kwamba uzoefu na tajiriba ya vita vya Juni vimebadilisha kimsingi muelekeo wa kijeshi wa Iran na kanuni zake za makabiliano.
-
Araqchi: Vikosi vya Jeshi la Iran vinashikilia kitufe cha kufyatua risasi
Jan 29, 2026 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, ameandika kwenye chaneli ya X, akijibu vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba: "Vikosi vyetu vya jeshi vimeshikilia kitufe cha kufyatua risasi na viko tayari kujibu haraka na kwa kina uchokozi wowote dhidi ya ardhi, anga na maji ya nchi hii."
-
Qalibaf: Iran haipingi mazungumzo, inataka diplomasia ichukue mkondo wake
Jan 29, 2026 23:42Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Tehran haipingi msingi wa mazungumzo na diplomasia ambao lazima uwe wa aina yake na wenye mlingano kwa mujibu wa kuheshimiana pande mbili.
-
Iran na Saudia katika mkondo wa ushirikiano na matarajio ya kuleta usalama, ustawi na umoja baina ya Waislamu
Jan 29, 2026 23:17Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed Bin Salman na kusisitiza kwamba: muelekeo inaofuata Iran katika uga wa kikanda umejengwa juu ya msingi wa udugu wa Kiislamu, kustawisha uhusiano wa kirafiki, na kupanua mashirikiano na nchi za Kiislamu.
-
Droni 1,000 za kimkakati zakabidhiwa kwa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jan 29, 2026 09:55Ndege elfu moja zisizo na rubani za kimkakati zimejiunga na vikosi vinne vya jeshi kwa amri ya Meja Jenerali Amir Hatami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.