Iran
  • Kiongozi Muadhamu: Wamarekani hawataweza kubaki, si Iraq wala Syria na hakuna shaka watafukuzwa tu

    Kiongozi Muadhamu: Wamarekani hawataweza kubaki, si Iraq wala Syria na hakuna shaka watafukuzwa tu

    May 17, 2020 23:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kuwasha moto wa vita katika nchi kadhaa ikiwemo Afghanistan, Iraq na Syria ni miongoni mwa sababu za kuchukiwa Marekani na akabainisha kwamba, Wamarekani wanaeleza kinagaubaga kuwa 'tumeweka vikosi Syria kwa sababu kuna mafuta'; lakini bila shaka hawataweza kubaki, si Iraq wala Syria. Ni lazima waondoke huko na hakuna shaka kuwa wataondoshwa tu.

  • Waziri wa Afya: Iran sasa imebadilika kuwa msafirishaji na muuzaji wa bidhaa za utabibu

    Waziri wa Afya: Iran sasa imebadilika kuwa msafirishaji na muuzaji wa bidhaa za utabibu

    May 17, 2020 03:45

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema, wakati mripuko wa virusi vya corona ulipozuka nchini kulikuwepo na uhaba fulani, lakini kwa kutegemea uwezo wake wa ndani, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliweza ndani ya muda wa chini ya miezi miwili kubadilika kuwa msafirishaji na muuzaji badala ya kuagiza bidhaa za tiba kutoka nje.

  • Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    May 17, 2020 02:17

    Baada ya serikali ya Rais Donald Trump kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2018 katika fremu ya sera za mashinikizo ya juu kabisa na kisha kushadidisha vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na licha ya kuibuka ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran, lakini bado Trump anasisitiza kuendeleza vikwazo vyake vilivyo dhidi ya ubinadamu dhidi ya taifa hili.

  • Corona; Utayari wa Iran wa kuzipatia nchi zingine tajiriba na uzoefu wake

    Corona; Utayari wa Iran wa kuzipatia nchi zingine tajiriba na uzoefu wake

    May 16, 2020 21:56

    Richard Brennan, mkuu wa ujumbe wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uliotumwa mjini Tehran, miezi miwili nyuma wakati mripuko wa virusi vya corona ulipokuwa umeshavuka hata mipaka ya Iran alisema, Iran ni moja ya nchi zenye mifumo imara zaidi ya kiafya katika eneo la mashariki ya Mediterania na akasisitiza kuwa "kubadilishana taarifa kuna umuhimu mkubwa sana kwa dunia; na mafanikio iliyopata Iran katika suala la corona inapasa zipatiwe pia nchi zingine."

  • Rouhani: Iran itaadhimisha Siku ya Quds kwa kuzingatia kanuni za afya

    Rouhani: Iran itaadhimisha Siku ya Quds kwa kuzingatia kanuni za afya

    May 16, 2020 21:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Siku ya Kimataifa ya Quds itaadhimishwa nchini Iran na pia Swala ya Idul FItr itaswaliwa kwa kuzingatia kanuni za afya kuhusiana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    May 15, 2020 08:02

    Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari ya Wizara ya Afya ya Iran ametangaza kuwa, hadi hivi sasa waathiriwa zaidi ya 91,836 wa ugonjwa wa COVID-19 au corona humu nchini wamepata afueni na kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka mahospitalini.

  • Zarif: Wenye imani za kuingiza vitakasaji mwilini wanadai kuwa ni washiriki katika JCPOA

    Zarif: Wenye imani za kuingiza vitakasaji mwilini wanadai kuwa ni washiriki katika JCPOA

    May 15, 2020 03:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ushiriki wa Marekani katika azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umeshafikia tamati.

  • Rouhani: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Rouhani: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 14, 2020 19:59

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za kivitendo za kukomesha jinai dhidi ya binadamu, ukandamizaji na dhulma wanazofanyiwa Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    May 14, 2020 19:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, licha ya kuwa siku zote Marekani inajulikana kuwa ni nchi ya kigaidi, lakini si kwa kiwango hiki cha hata kuzuia bidhaa za afya na tiba zikiwemo dawa kuwafikia watu wa Iran.