-
Onyo la Iran kwa Marekani; Usirudie tena vita vilivyofeli vya siku 12
Jan 18, 2026 02:37Tehran imemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kukariri uzoefu uliofeli wakati wa vita vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.
-
Imam Khamenei: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja/ Lengo la Marekani ni kuimeza Iran
Jan 17, 2026 13:45Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema Iran inamtambua Rais wa Marekani, Donald Trump, kama mhusika mkuu wa mauaji na uharibifu katika ghasia za hivi karibuni hapa nchini.
-
Iran yalaani unafiki wa G7 kuhusu haki za binadamu kufuatia tamko lao la kuingilia mambo ya ndani
Jan 17, 2026 06:40Wizara ya Mambo ya Nje imelaani vikali tamko la hivi karibuni la kuingilia mambo ya ndani ya Iran lililotolewa na Kundi la Nchi Saba (G7), ikilishutumu kundi hilo la kiserikali linaloongozwa na Marekani kwa kuingilia masuala ya Iran na kwa mtazamo wa kinafiki kuhusu haki za binadamu.
-
Vikosi vya usalama Iran vyanasa silaha 60,000 zilizokuwa zikielekea Tehran
Jan 17, 2026 06:38Vikosi vya usalama vya Iran vinasema vimekamata silaha 60,000 zilizokuwa zikielekezwa Tehran, na kuvunja mtandao wa kigaidi uliopata mafunzo kutoka shirika la kijasusi la Israel, Mossad. Magaidi hao walihusika katika machafuko ya hivi karibuni ambapo waliua raia na maafisa wa usalama baada ya maandamano yaliyokuwa ya amani kugeuzwa na madola ya kigeni kuwa vurugu.
-
Pezeshkian: Kuhusika Marekani na Israel katika matukio ya Iran hakukanushiki
Jan 17, 2026 02:34Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
-
Marekani haiwezi kukwepa dhima ya jinai walizofanyiwa wananchi wa Iran
Jan 17, 2026 02:33“Gholamhossein Darzi,” Balozi na Naibu wa Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kwamba, maandamano ya amani ya wananchi u wa Iran yalitekwa nyara na magenge ya kigaidi yaliyoingizwa Iran na madola ya kigeni ili kuanzisha fujo na mauaji. Marekani haiwezi kukwepa dhima ya jinai na ukatili mkubwa waliofanyiwa wananchi wa Iran.
-
Marekani na Israel zimeonesha kivitendo na waziwazi chuki zao dhidi ya Iran
Jan 17, 2026 02:32Waziri wa Ulinzi nwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tuna ushahidi madhubuti unaoonesha kwamba, Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya washirika wao waliunda kituo maalumu cha kujadili na kuchora mustakabali wa Iran baada ya kuvamiwa na magaidi.
-
Kwa nini Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai inapinga uingiliaji wa kigeni nchini Iran?
Jan 17, 2026 02:29Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) imetangaza rasmi kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kigeni nchini Iran.
-
Ayatullah Khatami: Njama za kuigawa Iran kupitia machafuko zimefeli
Jan 16, 2026 12:23Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa nchini Tehran amesema kuwa, njama za maadui za kuigawa Iran kupitia mamluki wao kuzusha vurugu na machafuko hapa nchini zimefeli na kugonga mwamba.
-
Araqchi: Iran iko macho na imejiandaa dhidi ya uingialiaji wowote wa kigeni
Jan 16, 2026 11:14Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na China wamesisitiza umuhimu wa kudumisha utulivu, kuheshimu uhuru wa nchi, na nafasi muhimu ya kidiplomasia katika kuzuia kuongezeka mizozo na mivutano.