-
Pakistan: Hatutaruhusu anga yetu itumiwe kwa ajili ya kuishambulia Iran
Jan 16, 2026 11:14Serikali ya Pakistan imetangaza kuwa, katu haitataruhusu anga yake itumiwe kwa ajili ya kuishambulia kijeshi Iran.
-
Iran: US, Israel ziliwapa silaha, fedha wafanya ghasia nchini
Jan 16, 2026 02:54Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema Marekani na Israel zilipanga na kufanikisha ghasia zilizoshuhudiwa hapa nchini hivi karibuni, zikielekeza silaha na pesa taslimu kuchochea vurugu na uvunjifu wa utulivu, ikiwa ni sehemu ya mpango mpana wa kuibua mgawanyiko na mifarakano katika taifa hili.
-
Kwa nini njama zote za Marekani dhidi ya Iran daima zinafeli?
Jan 16, 2026 02:10Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kwamba, watu wa Iran wataendelea kusimama imara kulinda na kutetea nchi yao, akisisitiza kuwa, njama yoyote ya Marekani dhidi ya Iran itashindwa tu kama zilivyoshindwa njama zao zote za huko nyuma.
-
Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?
Jan 15, 2026 10:34Ikiwa ni katika fremu ya uingiliaji wake katika masuala ya ndani ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani amezindua sarakasi mpya ya takwimu kuhusu Iran.
-
Araghchi amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN kuhusiana na machafuko na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki nchini Iran
Jan 15, 2026 10:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki katika machafuko na uvurugaji wa amani uliofanywa hivi karibuni hapa nchini.
-
IRGC yaonya kuhusu majibu makali kwa makosa ya kimahesabu ya Marekani na Israel
Jan 15, 2026 07:47Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya Marekani, Israel na mamluki wao wenye mienendo ya Daesh kwamba kosa lolote la kimahesabu litakabiliwa na majibu makali na ya kuangamiza.
-
Shamkhani: Shambulio la makombora kwenye kambi ya Al-Udeid ni ukumbusho wa azma ya Iran la kujibu mapigo
Jan 15, 2026 07:02Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ameonya kwamba shambulio la makombora la Juni mwaka jana kwenye Kituo cha Anga cha jeshi la Marekani cha Al-Udeid huko Qatar linapaswa kuwa ukumbusho kwa Rais Donald Trump kuhusu azma na uwezo wa Iran wa kujibu kitendo chochote cha uchokozi.
-
Vinara wa mashambulizi ya kigaidi katika ghasia za Iran wakamatwa
Jan 15, 2026 02:40Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imesema inaendelea kuwatambua na kuwakamata vinara wa mashambulizi ya kigaidi hivi karibuni jijini Tehran kwa ushirikiano madhubuti wa wananchi.
-
Iran yawasilisha malalamiko UN kuhusu matamshi ya Trump ya kuchochea vurugu na vitisho vya kijeshi
Jan 15, 2026 02:40Iran imewasilisha malalamiko rasmi kwa Umoja wa Mataifa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, ikimkemea kwa kutoa vitisho vya kijeshi na kuwachochea waandamanaji kuteka taasisi za serikali.
-
Mamilioni wajitokeza katika mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran
Jan 14, 2026 12:57Mamilioni ya Iran leo wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.