uncategorised
  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 09:07

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Nov 24, 2018 03:57

    Assalamu Alaykum Warahamtullahi Wabarakatuh. Wasikilizaji wapenzi, tungali tumo kwenye masiku ya kuadhimisha Maulidi, yaani uzawa wa shakhsia wa kustaajabisha katika historia na zama, ambaye alipambika kwa sifa bora za akhlaqi, zilizowavutia watu na kuwajenga kiutu.

  • Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 20, 2018 08:41

    Tuko katika siku tukufu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu, ambayo ni wiki ya kuadhimishwa uzawa na maulidi ya Mtume Mtukufu Muhammad (saw).

  • Khadija al-Kubra; johari inayong’ara katika nyumba ya Bwana Mtume SAW

    Khadija al-Kubra; johari inayong’ara katika nyumba ya Bwana Mtume SAW

    Nov 17, 2018 09:27

    Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbusha siku ya kufunga ndoa Bwana Mtume SAW na Bibi Khadija binti Khuwaylid AS.

  • Adhama ya Maulidi (Kuzaliwa) ya Mtume Muhammad SAW

    Adhama ya Maulidi (Kuzaliwa) ya Mtume Muhammad SAW

    Nov 13, 2018 05:16

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Kama mnavyojua, tumo ndani ya Mfunguo Sita, mwezi ambao alizaliwa Bwana wetu Muhammad SAW. Leo katika dakika hizi chache, tutazungumzia adhama ya kuzaliwa mtukufu huyo tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa maelezo haya mafupi.

  • Vita vya kiuchumi vya Marekani na Iran inayoendelea kusonga mbele kiustawi

    Vita vya kiuchumi vya Marekani na Iran inayoendelea kusonga mbele kiustawi

    Nov 11, 2018 05:46

    Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa, awamu ya pili ya vikwazo dhidi ya Iran ni aina kali zaidi ya vikwazo itakavyo vihimili Iran. Awamu hiyo ya pili ya vikwazo vya serikali ya Washington ilianza kutekelezwa tarehe 5 Novemba; vikwazo ambavyo vinawaathiri moja kwa moja raia wa kawaida wa Iran.

  • Haki za wazazi wawili kwa mujibu wa hadithi za Bwana Mtume SAW + Sauti

    Haki za wazazi wawili kwa mujibu wa hadithi za Bwana Mtume SAW + Sauti

    Nov 06, 2018 06:10

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hivi sasa tumo katika maombolezo na huzuni kubwa ya kukumbuka kufariki dunia kipenzi chetu na ruwaza yetu njema, Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa SAW ambaye hakuna kiumbe yeyote bora kuliko yeye na ambaye aliaga dunia katika siku ya mwisho ya mwezi wa Mfunguo Tano Safar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.

  • Siri ya kukubali Imam Ridha AS kuwa mrithi wa mtawala wa zama zake + Sauti

    Siri ya kukubali Imam Ridha AS kuwa mrithi wa mtawala wa zama zake + Sauti

    Nov 06, 2018 05:54

    Siku ya mwisho ya Mfunguo Tano Safar ndiyo siku aliyouawa shahidi Imam Ridha AS mmoja wa Maimamu watoharifu wa Waislamu wa Kishia.

  • Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Nov 04, 2018 23:13

    Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) aliaga dunia tarehe 28 Swafar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.