-
Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Jul 05, 2018 02:46Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.
-
Ali AS, dhihirisho la dua na kumtaradhia Allah
Jun 05, 2018 13:23Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika makala hii maalumu inayokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali bin Abi Twalib AS. Ni matumaini yangu kwamba mtaendelea kuwa kando ya redio zenu kusikiliza niliyokuandalieni.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Hasan al Mujtaba AS
May 30, 2018 03:11Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Mwezi 15 Ramadhani ni siku inayosadifiana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Hasan al Mujtaba, mjukuu mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Mwaliko wa Ramadhani
May 28, 2018 07:44Waashiki wa Qur'ani Tukufu hukikaribia zaidi kitabu hiki cha mbinguni katika mwezi huu mtukufu na kuzipa nyoyo zao msisimuko na uhai mpya kwa kusoma, kujifunza na kudiriki maarifa yake.
-
Mwaliko wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
May 20, 2018 08:20Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni nyote tusikilize kwa pamoja kipindi hiki maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa ajili ya mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Madai ya Rais Erdoğan wa Uturuki juu ya kufanikiwa jeshi lake katika operesheni ya Afrin, Syria
May 07, 2018 21:49Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kuwaua magaidi wengi katika operesheni zake eneo la Afrin, kaskazini mwa Syria.
-
Kupasishwa mabaliko ya Katiba nchini Chad
May 01, 2018 22:05Bunge la Chad limepasisha marekebisho ya Katiba ya nchi hiyo ambayo kivitendo yanampatia nguvu na mamlaka zaidi Rais Idriss Déby wa nchi hiyo.
-
"Ghuba ya Uajemi" (Persian Gulf); Jina Litakalobaki Milele Katika Kurasa za Historia
May 01, 2018 04:05Ni matumaini yangu kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Jumatatu ya tarehe 30 Aprili ilisadifiana na siku ya mwisho ya kuondoka Wareno baada ya kutimuliwa kwenye eneo la maji ya kusini mwa Iran. Kwa mnasaba wa tukio hilo, siku hii inajulikana katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama "Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi". Baada ya utangulizi huo mfupi nakuomba sasa ujiweke tayari kusikiliza yale niliyokuandalia kwa mnasaba wa siku hiyo.
-
Imam Mahdi (AF), Mwokozi Muahidiwa
Apr 30, 2018 06:01Siku hizi ni siku za kusherehekea kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu, Imam Mahdi (af) ambaye alizaliwa tarehe 15 Shaaban Hijiria. Tunatoa mkono wa pongezi na fanaka kwa Waislamu wote duniani na hasa wapenzi na wafuasi wa Watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saw) kwa mnasaba huu wa furaha wa kuzaliwa mtukufu huyo wa Ahlul Beit (as).
-
MOSSAD, mshukiwa mkuu wa mauaji ya kigaidi ya msomi wa Kipalestina nchini Malaysia
Apr 22, 2018 20:53Khaled Al-Batsh, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina, amesema Shirika la Ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD ndilo lililohusika na mauaji ya kigaidi ya msomi mtajika wa Kipalestina Fadi Muhammad Al-Batsh nchini Malaysia.