uncategorised
  • Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Sep 21, 2017 03:40

    Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.

  • Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Sep 20, 2017 03:18

    Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.

  • Mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 20, 2017 03:18

    Waislamu wengi katika pembe mbalimbali za dunia wanakumbana na ubaguzi na aina mbalimbali za ukatili wa kidini, kikaumu na kikabila.

  • Matakwa mapya ya kufanyiwa marekebisho muundo wa Umoja wa Mataifa

    Matakwa mapya ya kufanyiwa marekebisho muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sep 19, 2017 23:21

    Ikiwa ni katika harakati mpya, wawakilishi wa nchi 128 wametia saini mpango wa kutaka marekebisho yafanyike katika muundo wa Umoja wa Mataifa.

  • Mawaidha ya Ghadir na Sheikh Mulabbah Saleh

    Mawaidha ya Ghadir na Sheikh Mulabbah Saleh

    Sep 16, 2017 06:30

    Yafuatayo hapa ni mawaidha kuhusiana na sikukuu ya Ghadir kama yanavyoletwa kwenu na Sheikh Mulabbah Saleh wa Dar es Salaam Tanzania.

  • Wasiwasi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mkwamo wa kisiasa Guinea Bissau

    Wasiwasi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mkwamo wa kisiasa Guinea Bissau

    Sep 14, 2017 22:06

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa sanjari na kuelezea wasiwasi mkubwa lilionao kuhusiana na mkwamo wa kisiasa wa Guinea Bissau limewataka viongozi wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika watafute haraka iwezekanavyo njia ya ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Utumiaji akili na hikima katika fikra za Imam Kadhim (as)

    Utumiaji akili na hikima katika fikra za Imam Kadhim (as)

    Sep 10, 2017 13:54

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hamjambo wasikiliza wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Imam Mussa Al Kadhim (as). Mwenyezi Mungu Mwenye hikima aliwatuma wajumbe wake kwa ajili ya kuwaongoza wanadamu kuelekea kwenye saada na ufanisi wa dunia na Akhera.

  • Kwa Mnasaba wa Kuadhimisha Siku ya Kuzaliwa Imam Musa Al-Kadhim (as)

    Kwa Mnasaba wa Kuadhimisha Siku ya Kuzaliwa Imam Musa Al-Kadhim (as)

    Sep 10, 2017 03:05

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Wasikilizaji wapenzi, tuko kwenye siku ya maadhimisho ya kuzaliwa Imam Musa Al-Kadhim (as) mmoja wa wajukuu vipenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Imam Kadhim (as) ni shakhsia mkubwa ambaye mengi mno yamesimuliwa kuhusu sifa na utukufu wake kwenye vitabu vya Kishia na pia vya Kisuni.