-
Imam Swadiq AS kigezo chema cha Waislamu
Jul 19, 2017 12:03Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi hiki maalumu ambacho leo kitazungumzia maisha ya Imam Jafar Swadiq AS.
-
Picha za matukio tofauti ya Mosul
Jul 16, 2017 14:15Mapema mwezi huu wa Julai 2017, Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi alitangaza rasmi kufurushwa magaidi wa Daeshi (ISIS) na kukombolewa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa wa Nainawa wa kaskazini mwa Iraq. Hizi hapa chini baadhi ya picha zinazoonesha matukio mbalimbali ya operesheni ya ukombozi wa Mosul
-
Utendaji wa kibaguzi wa Rais wa Ufaransa kuhusiana na bara la Afrika
Jul 13, 2017 22:22Matamshi ya Rais wa Ufaransa kuhusiana na changamoto ya ustaarabu barani Afrika yamekabiliwa na malalamiko na upinzani mkubwa na akthari ya watu wameyatathmini matamshi yake hayo kuwa ni ya kibaguzi.
-
Vazi la Staha la Hijab
Jul 12, 2017 05:49Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum. Msikilizaji mpenzi, tarehe 21 Tir kwa mwaka wa Kiirani wa Hijria Shamsia ambayo inasadifiana na tarehe 12 Julai mwaka wa Milaadia, ni siku ya staha na hijabu nchini Iran.
-
Kuendelea kushikiliwa wanaharakati wa kisiasa nchini Bahrain
Jul 11, 2017 23:32Katika mwendelezo wa kuwakandamiza wapinzani nchini Bahrain, mahakama ya nchi hiyo imetoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela dhidi ya Nabil Rajab, Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu nchini Bahrain kwa tuhuma za kueneza habari za uongo na uvumi kuhusiana na hali ya ndani ya nchi hiyo.
-
Kipindi cha baada ya Daesh nchini Iraq na njama mpya za Marekani
Jul 04, 2017 23:34Katika hali ambayo kundi la kigaidi la Daesh linavuta pumzi zake za mwisho nchini Iraq katika siku hizi za kukaribia mwisho operesheni za kijeshi katika mji wa Mosul na kusafishwa sehemu kubwa ya maeneo hayo na uwepo wa magaidi hao na hivyo kuyafanya macho na masikio ya walimwengu kuelekea katika hatua ya mwisho ya uwepo wa Daesh katika nchi hiyo, duru za kisiasa za nchi hiyo ya Kiarabu zimeripoti habari ya kuweko njama mpya za Marekani katika hatua hiyo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Umuhimu wa Vyombo vya Mahakama Iran kujihusisha na masuala ya kimataifa
Jul 04, 2017 03:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kujihusisha Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jambo muhimu na kuongeza kuwa: "Vyombo vya Mahakama Vinaweza kutumia nafasi ya kisheria.
-
Wasiwasi wa UN kuhusu kushtadi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wapinzani Bahrain
Jul 01, 2017 23:45Kamati ya Kimataifa ya Umoja wa Mataifa ya Kupinga Ukandamizaji imetangaza katika ripoti yake kuwa, wapinzani nchini Bahrain wanaendelea kufanyiwa ukandamizaji mateso makubwa.
-
Kuongezeka changamoto za Saudia Arabia kutokana na siasa zake mbovu
Jun 28, 2017 23:40Habari zinaeleza kuongezeka kwa changamoto zinazoikabili Saudi Arabia kutokana na siasa mbovu na za kichokozi zinazotekelezwa na watawala wa nchi hiyo katika eneo.
-
Chad yatishia kuondoa askari wake katika kikosi cha kulinda amani barani Afrika
Jun 26, 2017 22:05Rais wa Chad ametishia kuwa iwapo hazitachukuliwa hatua za kudhaminia mahitaji ya kifedha ya askari wa nchi yake ataondoa jeshi la nchi hiyo katika kikosi cha askari wa kulinda amani barani Afrika.