uncategorised
  • Askari Marekani alivyokoka baada ya kuangukiwa na mti mkubwa

    Askari Marekani alivyokoka baada ya kuangukiwa na mti mkubwa

    May 29, 2016 04:44

    Mwanadamu si mjuzi wa jambo litakalomtokea sekunde chache baadaye. Askari huyu wa nchini Marekani angelijua ataangukiwa na mti, angeliakhirisha kazi yake japo kwa dakika chache, lakini...

  • Mpanda pikipiki nusura alaliwe na lori la mchanga China

    Mpanda pikipiki nusura alaliwe na lori la mchanga China

    May 29, 2016 04:41

    Kama siku zako hazijafika, hufikwi na lolote kama inavyoonesha mpanda pikipiki huyu alivyookoka kwa sekunde chache tu kuelemewa na lori la mchanga nchini Uchina.

  • Mmarekani azima miale 191 ya moto mkali kwa ulimi wake

    Mmarekani azima miale 191 ya moto mkali kwa ulimi wake

    May 29, 2016 04:38

    Hii ni dunia ya kutafuta umaarufu. Mmarekani aweka rekodi ya kuzima miale 191 ya moto mkali kwa ulimi wake.

  • Kibarua alivyookoka kimiujiza kazini

    Kibarua alivyookoka kimiujiza kazini

    May 29, 2016 04:35

    Hakuna kazi isiyo na tabu zake na ajali kazini ni jambo la kawaida hasa katika kazi za kutumia nguvu kama inavyoonesha video hii.

  • Ngedere khabithi

    Ngedere khabithi

    May 27, 2016 08:46

    Katika wanyama wenye maudhu, tumbili au ngedere ni nambari moja. Ona tumbili huyu anavyoyachokoza makinda ya chui, baada ya kupata uhakika hayawezi kumfanya chochote...

  • Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa Imam Mahdi AS

    Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa Imam Mahdi AS

    May 21, 2016 13:44

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Mahdi AS. Tunaianza makala hii fupi kwa kusema: Nuru ya umaanawi ya uwepo wa Imam Mahdi AS imeenea hata katika wakati huu wa "ghaiba" wa kutokuwepo mtukufu huyo machoni mwa walimwengu.

  • Mtangazaji apigwa kibao akiwa LIVE hewani, kulikoni?

    Mtangazaji apigwa kibao akiwa LIVE hewani, kulikoni?

    May 21, 2016 12:44

    Mtangazaji wa televisheni ya Russia Today bila ya kutarajia alishitukia anazabwa kibao na mmoja wa waandamanaji wakati alipokuwa LIVE hewani akitoa ripoti kuhusu maandamano mapya ya wafanyakazi jijini Paris, Ufaransa.

  • Ndege wachokozi

    Ndege wachokozi

    May 21, 2016 12:39

    Kila kiumbe hai kimetengewa na wakati wake wa starehe, lakini starehe ya ndege hawa ni kuwachokoza wanyama wenzao... Angalia mwenyewe...

  • Dereva aokoka kimaajabu gari ikiwaka moto

    Dereva aokoka kimaajabu gari ikiwaka moto

    May 21, 2016 12:37

    Angalia namna dereva wa gari alivyookoka kimaajabu mjini Alaska Marekani, wakati alipopata ajali na gari yake kushika moto...