Elimu inavyopatikana kwa shida
https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i8044-elimu_inavyopatikana_kwa_shida
Kutafuta elimu, kama kwa baadhi ya watu ni rahisi, kwa watoto hawa wa nchini China si jambo jepesi hata kidogo. Kila siku wanalazimika kupita kwenye njia hizi za hatari na kupanga ngazi zilizojaa hatari ndipo wafike shuleni. Cha ajabu ni kwamba hata wanyama nao wamejifunza kupanda ngazi hizo.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
May 29, 2016 04:48 UTC

Kutafuta elimu, kama kwa baadhi ya watu ni rahisi, kwa watoto hawa wa nchini China si jambo jepesi hata kidogo. Kila siku wanalazimika kupita kwenye njia hizi za hatari na kupanga ngazi zilizojaa hatari ndipo wafike shuleni. Cha ajabu ni kwamba hata wanyama nao wamejifunza kupanda ngazi hizo.