- 
                        
                            
                            Watumiaji X: Kutoka Afghanistan hadi Venezuela; mlolongo wa uingiliaji kati wa Marekani unaendelea
Oct 17, 2025 14:11Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wamesisitiza kuwa lengo la Marekani katika kuchagua chaguo la kijeshi kuhusu Venezuela ni kufanya uporaji katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
 - 
        
            
            Watumiaji wa X: Mkutano wa Sharm al-Sheikh ulikuwa mkutano wa makubaliano ya amani ya kichekesho zaidi duniani
Oct 15, 2025 14:27Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameuelezea mkutano wa Sharm al-Sheikh kuwa ni onyesho la nguvu na hadaa zenye lengo la kupuuza haki za watu wa Palestina.
 - 
        
            
            Watumiaji wa X: Hamas imehuisha jina Palestina/ Israel ndilo neno linalochukiwa zaidi duniani
Oct 14, 2025 04:25Katika radiamali kwa makubaliano ya kuhitimisha vita huko Gaza, watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wamesema utawala wa Kizayuni umeshindwa kufikia malengo yake dhidi ya muqawama wa Kiislamu wa Palestina, "Hamas."
 - 
        
            
            Alkhamisi, 09 Oktoba 2025
Oct 09, 2025 12:36Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.
 - 
        
            
            Watumiaji wa X: Hamas inawakilisha watu wa Palestina
Sep 28, 2025 13:33Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameitaja harakati ya muqawama wa Palestina "Hamas" mwakilishi wa watu wa Palestina wanaotetea taifa lao.
 - 
        
            
            Jumamosi, 31 Mei, 2025
May 31, 2025 02:20Leo ni Jumamosi 4 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1446 Hijria sawa na 31 Mei 2025 Miladia.
 - 
        
            
            Seyyed Abbas Araghchi: Iran inalaani jaribio lolote la kudhuru umoja wa Waislamu
May 28, 2025 04:07Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tehran inalaani vikali jaribio lolote la kushambulia umoja wa Waislamu.
 - 
        
            
            "Dunia bila Israeli ni mahali pazuri zaidi kwa watoto"; radiamali ya watumiaji X kwa kilio cha mtoto wa Kipalestina katika shule iliyolipuliwa huko Gaza
May 28, 2025 03:57Msichana wa Kipalestina aliokolewa kimiujiza katika shule moja kwenye Ukanda wa Gaza ambayo ilikuwa ikiteketea kabisa na moto na vilio vya wanawake na watoto vilisikika.
 - 
        
            
            Maziko ya mashahidi wa Muqawama yafikisha vilivyo ujumbe kwa walimwengu
Feb 25, 2025 06:14Wakati utawala wa Kizayuni na mabeberu wa dunia wanapowaua kigaidi viongozi wa Muqawama, huwa wanajidanganya kwamba wamepata ushindi. Hii ni kwa sababu maadui hao hawajua falsafa ya kuuawa shahidi katika njia ya Haki.
 - 
        
            
            Kiongozi wa Mapinduzi: Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika
Feb 24, 2025 05:12Ukurasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu wa lugha ya Kiibrania katika mtandao wa kijamii wa X umeandika, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".