-
Marekani yaiuzia Israel silaha zaidi kuendeleza mauaji ya kimbari Gaza
Jul 02, 2025 08:28Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha yenye thamani ya dola milioni 510 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni muendelezo wa uungwaji mkono wa kijeshi wa Washington wakati mauaji ya kimbari yanayoendeshwa na Israel dhidi ya watu wa Gaza yanaingia mwezi wa 21.
-
Hizbullah: Wavamizi wa Quds hawatakuwa na nafasi kusini mwa Lebanon
Jul 01, 2025 22:41Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: Utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kuwa na nafasi katika ardhi za kusini mwa Lebanon.
-
UN: Israel iruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo
Jul 01, 2025 08:58Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel inapasa kurahisisha na kuruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo kupitia vivuko vilivyopo ili misaada ya haraka iwafikie wakazi wa ukanda huo.
-
Hamas: Muqawama utaendelea kukabiliana na mashambulizi ya Israel
Jul 01, 2025 08:55Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameonya kuwa kuendelea mashambulizi na hujuma za Israel kunazidisha mapambano na muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya maghasibu Wazayuni.
-
Seneta Nasir Abbas: Pakistan haitakaa kimya ikiwa Marekani na Israel zitamlenga Ayatullah Khamenei
Jul 01, 2025 03:30Seneta wa Pakistan amelaani tishio la Marekani na Israel la kumlenga Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei akisema kuwa suala hilo llitaibua majibu kutoka kwa mataifa yote ya Kiislamu ikiwemo Pakistan.
-
Gazeti la Kizayuni "Ma'ariv" latangaza ongezeko kubwa la maombi ya Wazayuni ya matibabu ya kisaikolojia kutokana na vita na Iran
Jul 01, 2025 03:28Maombi ya Wazayuni ya kutaka huduma za msaada wa kisaikolojia kutokana na vita na Iran yameongezeka kwa kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuanza kwa vita kati ya utawala huo na Iran, sambamba na dalili za kuongezeka matatizo ya ndani katika nyanja ya afya ya akili.
-
Mji wa Bat Yam umekuwa kama Gaza baada ya mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel
Jun 30, 2025 07:57Gazeti la Israel la lugha ya Kiibrania limeripoti kuwa mji wa Bat Yam katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) sasa unafanana na maeneo yaliyoathiriwa na vita ya Ukanda wa Gaza baada ya mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya utawala wa Israel.
-
Utafiti Mpya: Takriban Wapalestina 100,000 wameuawa katika mauaji ya kimbari ya Israel Gaza
Jun 30, 2025 00:53Watafiti wamebaini kuwa takriban Wapalestina 100,000 wameuawa tangu kuanza kwa vita vya kinyama vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 2023.
-
Lieberman: Gharama ya vita na Iran imezidi makadirio kwa makumi ya mabilioni ya dola
Jun 29, 2025 22:44Wakati Israel bado inasumbuliwa na matokeo ya vita na Iran, Waziri wa zamani wa Fedha wa Israel, Avigdor Lieberman ametangaza kuwa, gharama za vita hivyo zimevuka utabiri wa mabilioni ya dola na kwamba uchumi wa Israel unazidi kudimimia kila siku.
-
Afisa wa Kizayuni akiri, makombora ya Iran yalipiga kwa usahihi moyo wa kituo cha utafiti cha Israel
Jun 29, 2025 08:30Alon Chen, mkuu wa Taasisi ya Sayansi ya Weizmann (ubongo wa masuala ya usalama na jeshi la Israeli) kusini mwa Tel Aviv, amekiri katika taarifa yakke kwamba makombora ya Irani yalipiga kwa usahihi kituo cha utafiti cha Israel.