-
Sheikh Naim Qassim: Muqawama ni njia ya ushindi, unapatikana katika medani ya vita au kwa kuuawa shahidi
Jun 29, 2025 04:32Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, njia ya muqawama ni njia ya ushindi, iwe unapatikana ardhini au kwa kuuawa shahidi.
-
Maandamano ya walowezi wa Kizayuni ya kutaka kusitishwa mapigano na kubadilishana mateka
Jun 29, 2025 04:29Walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano na kukusanyika mbele ya makazi ya baadhi ya maafisa wa utawala huo ghasibu wakitaka kutiwa saini makubaliano ya kubadilishana mateka na kusitishwa mapigano ili kuwarejesha mateka wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Mpango wa usambazaji chakula huko Gaza ni uvunjiwaji heshima utu wa kibinadamu wa Wapalestina
Jun 28, 2025 07:56Shirika la Kimataifa la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza katika taarifa leo Jumamosi kwamba kile kinachotokea wakati wa usambazaji wa chakula katika Ukanda wa Gaza kinasikitisha sana.
-
Yemen yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Israel
Jun 28, 2025 07:36Ving'ora vya mashambulizi ya anga vimesikika katika maeneo mengi ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) baada ya jeshi la Yemen kuvurumisha makombora kuelekea utawala wa Kizayuni ili kulipiza kisasi vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelea kufanywa na utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ulio chini ya mzingiro.
-
Wanawake wa Kialawi Syria wanatekwa nyara mchana kweupe chini ya utawala wa Tahrir al Sham
Jun 28, 2025 04:17Makumi ya wanawake wa jamii ya Waalawi wametekwa nyara nchini Syria tangu kundi la Hay'at Tahrir al Sham (HTS) lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida lilipochukua madaraka mwezi Disemba mwaka jana.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12
Jun 28, 2025 02:49Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Iran ndiye mshindi wa makabiliano baina yake na adui mzayuni.
-
Ben-Gvir awaruhusu walowezi wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa
Jun 28, 2025 02:22Waziri maluuni wa mambo ya ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel Itamar Ben-Gvir ametoa ruhusa kwa walowezi haramu wa Kizayuni kuimba na kudansi kwenye eneo la Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Baitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu.
-
Hamas yaapa: Tutaendelea kuwaua wanajeshi wa Israel baada ya shambulizi la kuvizia kuwaua 7 huko Gaza
Jun 26, 2025 12:31Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeapa kuendelea kuwashambulia wanajeshi wa utawala wa Kizayuni baada ya shambulizi la kuvizia lilitotekelezwa na wanamuwawama wa harakati hiyo na kuangamiza wanajeshi saba kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Pakistani: Mapambano ya kijasiri ya Iran dhidi ya Israel ni ya kupongezwa
Jun 26, 2025 12:17Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza mapambano ya Iran dhidi ya hujuma ya utawala wa Kizayuni.
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni vyakiri kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na Yemen
Jun 26, 2025 12:13Vyombo vya habari vya Kizayuni vilikiri kwamba utawala ghasibu wa Israel ni dhaifu sana na kwamba hauna habari na intelijensia ya kutosha kuhusu Yemen.