-
Wanajeshi 7 wa Israel waangamizwa Khan Yunis
Jun 25, 2025 05:32Wanajeshi wasiopungua 7 wa utawala haramu wa Israel wameangamizwa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la kuvizia la vikosi vya muqawama huko Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah: Tuko pamoja na Iran katika kukabiliana na Marekani na Israel
Jun 22, 2025 11:26Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, iko pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na uchokozi wa Marekani na utawala haramu wa Israel.
-
Baada ya kipigo kutoka Iran, sasa Wazayuni waomba msaada wa Marekani
Jun 15, 2025 04:29Utawala wa Kizayuni wa Israel umeitaka Marekani kujiunga na vita vyake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kile inachodai ni "kuondolewa" mpango wa nishati ya nyuklia wa Iran.
-
Yahya Saree: Tumelipiga kwa makombora eneo la Jaffa sambamba na mashambulizi ya Iran
Jun 15, 2025 04:28Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen amesema kuwa, jana nchi yake ilifanya operesheni ya kijeshi ya mafanikio dhidi ya maeneo nyeti ya adui Mzayuni katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Jaffa, kwa kulipiga eneo hilo kwa makombora mawili.
-
Mufti wa Oman ataka Waislamu wote kuiunga mkono Iran
Jun 14, 2025 07:19Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili, Mufti wa Oman amesema katika ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa X kwamba: "Tuna imani Mwenyezi Mungu atavipa ushindi Vikosi vya Uliinzi vya Iran."
-
Meya Mzayuni: Nimeona mengi, lakini mashambulizi yaliyofanywa na Iran sijawahi kuyaona
Jun 14, 2025 07:18Meya wa mji wa Kizayuni wa Rishon Letzion wa kusini mwa Tel Aviv ameeleza kupigwa mshangao na kushtushwa na kiwango kikubwa cha uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema: Sijawahi kuona uharibifu mkubwa kama huu.
-
HAMAS: Shambulio la Israel dhidi ya Iran ni kosa la kimkakati
Jun 13, 2025 22:53Msemaji wa Brigedi za Al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya Hamas ametangaza mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu katika kukabiliana na mashambulizi ya jana Ijumaa ya utawala wa Kizayuni.
-
Israel yaua Wapalestina 13 wenye kiu na njaa, yajeruhi zaidi ya 100
Jun 12, 2025 07:14Jeshi katili la Israel limefanya jinai nyingine dhidi ya raia wenye kiu na njaa waliokuwa wamekusanyika kupokea misaada ya kibinadamu katika eneo la Netzarim. Takwimu za awali zinaoenesha kuwa, Wapalestina 13 wameuawa shahidi na zaidi 100 wamejeruhiwa kwa mkupuo mmoja.
-
Sababu za kuendelea Muqawama wa Yemen licha ya uungaji mkono mkubwa wa Marekani na Magharibi kwa utawala wa Kizayuni
Jun 12, 2025 02:06Licha ya uungaji mkono mkubwa wa Marekani na nchi za Magharibi kwa utawala ghasibu wa Israel, lakini operesheni za wapiganaji wa muqawama wa Yemen katika Bahari Nyekundu na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zingali zinaendelea.
-
Vyama vya upinzani Israel vyaafikiana kuvunja Bunge
Jun 11, 2025 22:41Kanali ya 13 ya televisheni ya Kiebrania imeripoti kwamba vyama vya upinzani Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) zimeafikiana kuidhinisha pendekezo la kisheria kuhusu kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset).