-
Kamisheni ya UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza
Jun 11, 2025 03:49Tume huru ya Umoja wa Mataifa imeutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki kwa kuwashambulia raia wa Kipalestina wanaohifadhiwa katika shule na maeneo ya kidini huko Gaza.
-
Ansarullah kupanua wigo wa operesheni zake dhidi ya Israel
Jun 11, 2025 03:48Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa itapanua wigo wa operesheni zake dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yachanganyikiwa kwa kipigo cha kombora la vichwa kadhaa la Yemen
Jun 10, 2025 23:33Jeshi la Yemen limeyashambulia maeneo muhimu ya utawala wa Kizayuni na kuufanya mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora wa Israel uchanganyikiwe na kulazimika kufyatua takriban makombora 10 kukabiliana na kombora moja la Yemen.
-
Hali ya wananchi wa Gaza: Ima ufe kwa njaa au kwa risasi
Jun 10, 2025 08:34Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesisitiza kuwa, wakazi wa Ukanda wa Gaza hawapaswi kulazimishwa kuchagua kati ya kifo na kutafuta chakula.
-
Kwa nini Israel ina hasira dhidi ya kutumwa meli ya Madleen Gaza?
Jun 10, 2025 06:41Katika hali ambayo, meli ya "Madleen" iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu ilikuwa imekaribia Gaza, majeshi ya Israel yalishambulia meli hiyo, na kuwateka nyara abiria wake na kuzuia misaada hiyo kufika Gaza.
-
Israel yaua Wapalestina 60 ndani ya saa 24 zilizopita huko Ghaza
Jun 10, 2025 04:10Mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza yamesababisha vifo vya Wapalestina 60 ndani ya saa 24 zilizopita, Hayo ni kwa mujibu wa duru za afya za ukanda huo.
-
Wapinzani wa Netanyahu wazidi kumshinikiza aondoke madarakani
Jun 09, 2025 22:46Mashinikizo ya vuguvugu la upinzani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) ya kutaka kumpindua Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na baraza lake la mawaziri yameongezeka.
-
Makampuni ya kigeni yanaukimbia utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 09, 2025 22:45Makampuni ya kigeni yaliyokuwa na uwekezaji huko Israel (Palestina inayoikaliwa kwa mabavu) yameendelea kukimbia kutoka huko kutokana na kukosekana usalama wa kibiashara.
-
Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'
Jun 09, 2025 07:58Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya kuwa, mfumo wa huduma za afya katika Ukanda wa Gaza ni "dhaifu sana" wakati huu ambapo vita vya Israel vinaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Hamas: Israel imefanya uharamia kwa kushambulia meli ya misaada
Jun 09, 2025 07:44Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya meli iliyobeba misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza na kusema kuwa, kitendo hicho ni uharamia wa baharini na jinai dhidi ya binadamu.