-
Israel inawatesa mateka wa Palestina hadi dakika ya mwisho kabla ya kuachiliwa huru
Feb 08, 2025 22:54Mara tu basi la kwanza lililobeba Wapalestina walioachiliwa huru lilipowasili Ramallah, Wapalestina sita walioachiliwa huru wamepelekwa haraka hospitalini kutokana na hali zao kuwa mbaya sana.
-
Cuba: Gaza ni mali ya wananchi wa Palestina
Feb 08, 2025 08:18Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Cuba imetangaza kuwa, inaunga mkono kikamilifu Palestina na kwamba, Gaza ni mali ya wananchhi wa Palestina.
-
Joseph Aoun: Kuondoka jeshi la Israel ni ufunguo wa kurejea amani Lebanon
Feb 08, 2025 04:33Rais wa Lebanon amesisitiza katika mazungumzo na Mjumbe wa Marekani kuwa amani itarejea kusini mwa Lebanon iwapo jeshi la utawala wa Kizayuni litaondoka katika eneo hilo.
-
Hamas ina uwezo gani wa kujijenga upya?
Feb 08, 2025 00:46Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na kujijenga upya, duru za Kizayuni kwa mara nyingine tena zimetangaza kushangazwa na uwezo mkubwa wa kundi hilo la muqawama katika uwanja huo.
-
Netanyahu: Saudia imege ardhi yake na kuwapatia Wapalestina waunde nchi yao
Feb 07, 2025 23:00Waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amependekeza Wapalestina waunde nchi yao ndani ya Saudi Arabia badala ya kwenye ardhi ya nchi yao ya asili; na ametupilia mbali dhana yoyote ya kuwepo nchi ya Palestina yenye mamlaka kamili ya kujitawala.
-
Kwa mara ya kwanza Gallant akiri kuwa Israel yenyewe iliwaua Wazayuni 1,200 Oktoba 7, 2023
Feb 07, 2025 07:44Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni Yoav Gallant amekiri kuwa utawala huo haramu ulitumia itifaki ya kutisha ijulikanayo kama "Hannibal Protocol" wakatii ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa na Hamas Oktoba 7, 2023.
-
Israel yazitaka Uhispania, Ireland na Norway ziwachukue na kuwapatia makazi Wapalestina wa Ghaza
Feb 07, 2025 07:30Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema nchi za nchi za Ulaya ambazo zilipinga hatua ya kijeshi ya utawala huo ghasibu dhidi ya Ukanda wa Ghaza zinapaswa kuwapatia makazi Wapalestina watakaohama katika eneo hilo.
-
Israel yashambulia Lebanon, yakiuka makubaliano ya usitishaji vita
Feb 07, 2025 04:22Jeshi la Israel limefanya mashambulizi kadhaa ya anga dhidi ya maeneo tofauti ya kusini na mashariki mwa Lebanon, huo ukiwa ni ukiukaji mkubwa na wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati yake na nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Sababu gani zimepelekea kuongezeka biashara ya nje ya Iran?
Feb 06, 2025 23:07Takwimu zinaonyesha kuwa, biashara ya nje ya Iran imefikia dola bilioni 104.
-
Utawala wa Israel wajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la UN
Feb 06, 2025 07:38Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo unajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.