-
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN: Israel lazima iwajibishe kwa kushambulia mji wa Jenin
Jan 24, 2025 23:28Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake juu ya operesheni za jeshi la Israel katika Ukingo wa Magharibi, ukiwemo mji wa Jenin.
-
Sababu gani zimepelekea kuongezeka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan?
Jan 24, 2025 08:51Katika siku za hivi karibuni, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na walowezi dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan yameongezeka.
-
Ansarullah ya Yemen: Marekani haina haki ya kuzihukumu nchi zingine
Jan 24, 2025 05:49Harakati ya Ansarullah ya Yemen iimetoa radiamali kwa hatua ya Marekani ya kuiweka Yemen katika orodha ya magaidi na kubainisha kwamba, Washington ambayo inahusika na mauaji ya Wapalestina na wasio na hatia haina haki ya kuzihukumu nchi zingine.
-
HAMAS: Muqawama wa watu wa Gaza umeipigisha magoti Israel
Jan 24, 2025 05:48Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kusimama kidete watu wa Gaza na vikosi vya muqawama kumeshinda lengo la utawala unaokalia kwa mabavu la kuwatimua Wapalestina.
-
Vita vya Israel vyaacha mayatima 36,000 na wajane 14,000
Jan 24, 2025 03:29Idadi ya watoto wa Kipalestina walioachwa yatima kutokana na vita vya siku 471 vya mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza imefikia zaidi ya 36,000, huku takriban wanawake 14,000 wakibakia baada ya waume zao kuuawa kufuatia hujuma na mashambulio ya kinyama ya Israel katika ukanda huo.
-
Washington Post: Google imehusika katika mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Wapalestina
Jan 24, 2025 00:03Gazeti la Marekani la Washington Post limefichua ushirikiano wa kampuni ya Google na utawala wa Israel katika mauaji ya kimbari huko Gaza.
-
Matokeo ya usitishaji vita vya Gaza kwa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Jan 24, 2025 00:02Jeshi na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wamekabiliwa na hali mbaya kutokana na matokeo ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah yapuuza hatua ya Marekani kuiweka harakati hiyo kwenye orodha yake ya magaidi
Jan 23, 2025 09:36Ansarullah ya Yemen imepuuza uamuzi wa hivi karibuni wa Marekani wa kuiweka harakati hiyo ya Muqawama kwenye orodha ya makundi yake ya kigaidi na kusema kuwa, kujumuishwa kwenye orodha ya marafiki wa Marekani ni aibu na tishio kubwa zaidi kuliko hata ugaidi wenyewe.
-
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jan 23, 2025 04:19Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine wawili katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, wakati wakiendelea na kampeni ya kijeshi ambayo imeifanya kambi ya wakimbizi ya Jenin "kutoweza kukalika".
-
UN yatahadharisha mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka hadi Ukingo wa Magharibi
Jan 22, 2025 23:21Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina ametahadharisha kuwa mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka kutoka Gaza hadi Ukingo wa Magharibi, kwa kuzingatia operesheni kubwa ya kijeshi inayoendelea kufanywa na utawala huo ghasibu katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin.