-
Sera ya Mashariki ya Kati ya Trump katika muhula wa pili wa urais wake itakuwaje?
Jan 22, 2025 09:34Rais Donald Trump wa Marekani, amerejea ikulu baada ya miaka minne, akianza rasmi muhula wake wa pili wa urais Jumatatu, tarehe 20 Januari 2025. Swali kuu ni: Je, sera yake kuhusu Mashariki ya Kati au Asia Magharibi itakuwaje katika muhula huu wa pili?
-
Baada ya HAMAS, Jihadul Islami nayo yaishukuru Iran kwa msaada wake mkubwa kwa Palestina
Jan 22, 2025 03:08Msemaji wa Brigedi za Al-Quds, tawi la kijeshi la harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuishambulia mara mbili Israel katika operesheni za Ahadi ya Kweli Moja na Ahadi ya Kweli Mbili na kusisitiza kuwa, Muqawama utaheshimu usitishaji vita kama adui Mzayuni naye ataheshimu makubaliano hayo.
-
Waziri Mkuu wa Qatar: Diplomasia ndiyo njia bora ya kushirikiana na Iran
Jan 22, 2025 03:08Waziri Mkuu wa Qatar ameitaka Marekani kurejea katika meza ya mazungumzo na kufikia makubaliano mapya kuhusu suala la nyuklia la Iran akisisitiza kuwa, diplomasia ndio utatuzi bora zaidi wa masuala tata.
-
Kimbunga cha al-Aqsa chamsomba Mkuu wa Majeshi ya Israel
Jan 21, 2025 23:56Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Israel, Herzi Halevi ametangaza kujiuzulu kufuatia kushindwa kwake kuzima Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa dhidi ya utawala huo haramu.
-
Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin
Jan 21, 2025 23:20Wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina kumi na kuwajeruhi wengine 35 katika shambulio dhidi ya mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kupelekea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kutoa wito kwa vijana wa Kipalestina kujikusanya na kujiandaa kujibu uchokozi huo wa vikosi vamizi vya Wazayuni.
-
Utawala wa Israel umetekeleza uharibifu mkubwa na wa makusudi Gaza
Jan 21, 2025 23:16Katika kipindi hiki cha kutekelezwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza na kuondoka kwa vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, maelfu ya Wapalestina wanapaswa kurejea katika. Hata hivyo hakuna nyumba za kurejea kwani Gaza imebaki na magofu tu.
-
Nyaraka zavuja kuhusu msaada wa mafuta wa Erdogan kwa utawala wa Israel
Jan 21, 2025 07:56Mbunge wa Uturuki amewasilisha picha za satalaiti na nyaraka za data za baharini katika bunge la nchi hiyo zinazothibitisha kwamba Ankara imekuwa ikitoa msaada wa mafuta kwa utawala wa Israel.
-
Upotoshaji mkubwa! Al Jazeera yaficha shukrani za msemaji wa Hamas kwa Iran
Jan 21, 2025 03:47Kitengo cha "habari za punde" cha televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kwenye mitandao ya kijamii, katika hatua ya kushangaza, kimechuja shukrani zilizotolewa na Obaida, msemaji wa "Brigedi za Izzuddin al-Qassam," tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa Iran na Yemen.
-
Hizbullah ya Lebanon: Tutaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hadi Israel itakapoangamizwa
Jan 21, 2025 03:38Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesisitiza katika taarifa yake kuwa itaendelea kuwasaidia na kushikama na wananchi wa Palestina hadi utawala wa Kizayuni wa Israel utakapoangamizwa.
-
Al-Houthi: Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika ushindi wa kihistoria wa Palestina
Jan 20, 2025 23:28Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kambi ya muqawama na kambi ya uungaji mkono imetoa pigo kwa adui na kwamba, Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika kupatikana ushindi dhidi ya utawala haramu wa Israel.