-
Kiongozi wa Ansarullah: Shahidi Soleimani alizuia njama za Marekani katika eneo la Asia Magharibi
Jan 03, 2025 04:09Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ametoa heshima kwa kamanda mkuu wa zamani wa kupambana na ugaidi wa Iran, shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, akisema alikuwa na nafasi ya kipekee katika kuwaunga mkono watu wa Palestina na muqawama wao.
-
Wairani wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 5 ya kuuawa shahidi Jenerali Soleimani
Jan 03, 2025 04:06Leo Ijumaa katika mji aliozaliwa na eneo la kaburi la Jenerali Soleimani, kumeshuhudiwa mafuriko ya maashiqi na wapenzi wa kamanda huyo mashuhuri huku kukiwa na baridi kali na theluji wakati huu wa kumbukumbu ya miaka mitano ya kuuawa kwake shahidi.
-
Operesheni za Mhimili wa Muqawama dhidi ya utawala ghasibu wa Israel
Jan 03, 2025 04:04Huku kukiwa na vita vya mauaji ya kimbari ya Israel yanayoungwa mkono na mataifa ya Magharibi hasa Marekani dhidi ya Gaza, ambayo yamesababisha vifo vya takriban Wapalestina 45,600 hadi sasa, makundi ya muqawama huko Palestina na katika eneo zima la Asia Magharibi yanaendelea na operesheni zao dhidi ya utawala wa Israel na waungaji mkono wake wa Magharibi.
-
Askari wengi wa Israel wanajiua kutokana na vita Gaza
Jan 03, 2025 04:01Jeshi la Israel limeripoti ongezeko kubwa la vifo vya kujiua miongoni mwa wanajeshi tangu kuanzishwa kwa kampeni ya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza uliozingirwa
-
Viongozi wa Ulaya waendelea kudhihirisha sura zao za kinafiki, mara hii kuhusu Gaza na Marekani
Jan 03, 2025 00:16Viongozi wa nchi za Ulaya, wameendelea kuonyesha sura zao za kinafiki, kwa kukaa kimya kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Gaza, huku wakikimbilia kutuma ujumbe wa rambirambi kutokana na hujuma ya gari iliyotokea Marekani.
-
Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani lataka kukomeshwa mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Jan 03, 2025 00:14Kundi la kutetea haki za Waislamu wa Marekani linasema, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inayoelezea mashambulizi ya Israel dhidi ya mfumo wa afya wa Gaza ni ushahidi zaidi wa mauaji ya kimbari katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina.
-
Msikiti wa Al Aqsa ulihujumiwa na walowezi wa Kizayuni mara 22 mwezi Desemba
Jan 02, 2025 11:26Katika mwezi uliopita wa Desemba, kulikuwa na hujuma 22 za walowezi wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) Mashariki unaokaliwa kwa mabavu.
-
Israel yaua watoto Wapalestina katika hujuma ya hema lao mjini Khan Yunis
Jan 02, 2025 11:07Utawala haramu wa Israel umefanya mashambulizi mapya katika eneo la kusini la Ukanda wa Gaza la Khan Yunis, na kuua watu wasiopungua 11 huku utawala huo ukiendelea na hujuma dhidi ya ardhi ya Palestina.
-
Watoto wachanga wapatao 1,100 wameuliwa katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza
Jan 02, 2025 03:19Watoto wachanga Wapalestina wapatao 1,100 wameuawa katika mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel tangu Oktoba 2023.
-
Sheikh Naim Qassem: Harakati ya Hizbullah imeimarisha uwezo wake
Jan 01, 2025 23:12Sheikh Naim Qassem, Katibu mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo imepata nafuu vizuri baada ya kuuawa kwa kiongozi wake wa zamani Sayyed Hassan Nasrallah katika shambulio la kigaidi la Israeli huko Beirut mnamo Septemba 27.