-
Israel yafanya mashambulio 300 ya anga dhidi ya Syria ndani ya siku 2
Dec 10, 2024 03:03Vyombo vya habari vya utawala ghasibu wa Israel vimetangaza kwamba jeshi la anga la utawala huo ghasibu limefanya mashambulizi 300 ya anga dhidi ya Syria katika muda wa siku mbili zilizopita na kuharibu miundombinu ya ulinzi na kijeshi ya nchi hiyo.
-
Wazayuni wakiri kuangamizwa maafisa wanne wa kijeshi wa Israel, kaskazini mwa Ghaza
Dec 10, 2024 03:03Tovuti moja ya Kizayuni imezinukuu duru za ngazi za juu za jeshi la Israel zikikiri kwamba, wanamapambano wa Palestina wamefanikiwa kuangamiza maafisa wanne wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia ya kaskazini mwa Ghaza.
-
Nchi za Kiarabu zalaani 'vitendo haramu' vya Israel nchini Syria baada ya kuanguka utawala wa Assad
Dec 09, 2024 23:22Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imelaani "vitendo haramu" vya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria, ambapo utawala huo ghasibu unatumia fursa ya hali ya machafuko kupanua ukaliaji wake wa mabavu wa ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina zaidi 50 katika mauaji ya halaiki yaliyozilenga familia Ghaza
Dec 09, 2024 11:19Wapalestina wengine zaidi ya 50 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, na kuifanya idadi ya vifo katika eneo hilo tangu utawala huo haramu ulipoanzisha vita na mauaji ya kimbari Oktoba 7 mwaka jana kufikia 44,758.
-
Moscow: Assad aliondoka madarakani mwenyewe na kuamuru makabidhiano ya amani ya madaraka
Dec 09, 2024 09:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema kuwa Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad "ameondoka madarakani yeye mwenyewe na kutoa maelezo ya kukabidhi madaraka kwa amani, baada ya mazungumzo na makundi kadhaa ya wapinzani wenye silaha ya Syria."
-
Wanajeshi 4 wa Israel wauawa kwenye handaki kusini mwa Lebanon
Dec 09, 2024 09:47Jeshi la Israel limekiri leo Jumatatu kuwa wanajeshi wake wanne wameuawa kusini mwa Lebanon, likiwa ni tukio la kwanza la aina yake tangu baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano siku 12 zilizopita.
-
Hizbullah yatangaza eneo alikozikwa Shahidi Safieddine
Dec 09, 2024 04:36Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza mahala alipozikwa Sayed Hashem Safieddine, mkuu wa Halmashauri Kuu ya harakati hiyo ambaye aliuawa shahidi mwezi Oktoba.
-
Bashar al-Assad na familia yake wapewa hifadhi Russia
Dec 09, 2024 00:18Kanali ya Kwanza ya Televisheni ya Russia imeripoti ikiinukuu ikulu ya nchi hiyo Kremlin kwamba aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al-Assad na wanafamilia wake wako Moscow.
-
Idadi ya mashahidi Gaza yakaribia watu 45,000
Dec 08, 2024 23:42idadi ya mashahidi wa Kipalestina waliouawa tangu kuanza hujuma kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni huko Gaza (Oktoba 7, 2023) imekaribia watu 45,000.
-
Russia: Assad aliondoka Syria baada ya kujiuzulu na kutaka kukabidhiwa madaraka kwa amani
Dec 08, 2024 23:41Serikali ya Russia imetangaza kuwa, Rais wa Syria Bashar al-Assad alitoa maagizo ya kukabidhiwa madaraka kwa amani kabla ya kujiuzulu na kuondoka nchini humo.