-
Umaskini washadidi Israel, milioni mbili wanaishi chini ya mstari wa umaskini
Dec 27, 2024 23:18Vita vinaweza kuwa biashara nzuri kwa watengenezaji silaha, lakini, kwa upande wa Israel, ni habari mbaya kwa idadi ya watu. Umaskini umezikumba ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Isarel. Waziri mkuu wa Israe Benjamin Netanyahu ameingia katika vita ambavyo vimewatumbukiza Wazayuni katika masaibu makubwa.
-
Jinai za Israel zinaendelea: Wapalestina wengine 15 wauawa shahidi
Dec 27, 2024 07:38Wapalestina wengine 15 wameuawa shahidi katika jinai ya hivi punde ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika ukanda wa Gaza.
-
Kiongozi wa Ansarallah: Marekani na Israel zinafuatilia kuugawa Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 27, 2024 07:18Kiongozi wa Ansarallah wa Yemen, Abdul Malik al-Houthi, amesema kuwa, Marekani na 'Israel' zinafanya njama za kuudhibiti ulimwengu wa Kiislamu kwa njia ya mgawanyiko na ukandamizaji, akisisitiza umuhimu wa kuendelezwa muqawama na mapambano.
-
New York Times: Jeshi la Israel liliidhinisha kuuliwa raia mpaka 100 Ghaza ili kumpata mshukiwa mmoja wa Hamas
Dec 27, 2024 04:13Uchunguzi uliofanywa na gazeti la New York Times la Marekani unaonyesha kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel lililegeza kwa kiwango kikubwa sheria zake za kivita katika miezi ya mwanzo ya vita vyake dhidi ya Ghaza, na kusababisha vifo vingi vya raia.
-
Iraq yafukua mabaki ya miili 100 ya Wakurdi wanawake na watoto waliouliwa na Saddam
Dec 27, 2024 03:55Mamlaka ya Iraq imeanza kufukua mabaki ya miili ya wanawake na watoto wapatao 100 wa Kikurdi walioripotiwa kuuliwa na utawala wa Saddam Hussein katika miaka ya 1980.
-
Licha ya hujuma za kinyama za Israel Sana'a na Hudaydah, kombora jengine la Yemen lapiga Tel Aviv
Dec 27, 2024 00:08Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa ving'ora vya tahadhari ya mashambulio ya anga vimesikika katika sehemu kubwa ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina bandia la Israel kufuatia shambulio la kombora lililorushwa kutoka Yemen mapema leo.
-
Hamaki ya Tel Aviv dhidi ya matamshi ya Papa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 26, 2024 10:08Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imemwita balozi wa Vatican katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa ajili ya kusailiwa. Ni baada ya Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kukosoa vita na mauaji ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
'Kristo bado yuko chini ya vifusi vya Gaza', kasisi wa Palestina asema katika ujumbe wa Krismasi
Dec 26, 2024 08:41"Kristo bado yuko chini ya vifusi vya Gaza huku eneo la Palestina lililozingirwa likiangamizwa". Haya yamesemwa na Munther Isaac, mchungaji na mwanatheolojia maarufu wa Kikristo wa Palestina, katika ujumbe wake wa kila mwaka wa Sikukuu ya Krismasi.
-
Wanamgambo wa HTS Syria washambulia waandamanaji wanaolaani kuvunjiwa heshima eneo takatifu
Dec 26, 2024 08:39Maandamano yamezuka kote nchini Syria kuhusiana na wanamgambo ambao wamevunjia heshima eneo takatifu la Waislamu wa madhehebu ya Alawi huko Aleppo, huku wanamgambo yenye silaha wa kundi la Hay'at Tahrir al-Sham (HTS) wakiwafyatulia risasi waandamanaji.
-
Ansarullah yatangaza kukamatwa maajenti wa Mossad na CIA nchini Yemen
Dec 26, 2024 07:34Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeitangaza kwamba imekamata idadi kadhaa ya "majasusi waliokuwa wakifanya kazi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, na shirika la ujasusi la Marekani, CIA."