-
Israel yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Lebanon, yaendelea kuua Wapalestina Ghaza
Nov 29, 2024 08:12Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi mapya dhidi ya Lebanon kinyume na makubaliano ya kusitisha mapigano liliyofikia na harakati ya Muqawama ya Hizbullah; na wakati huohuo limeshadidisha mashambulizi yake ya kinyama ya anga katika Ukanda wa Ghaza.
-
Abdul-Malik al-Houthi: Kupitia Hizbullah, Mwenyezi Mungu ametoa ushindi mwingine mkubwa dhidi ya adui Israel
Nov 29, 2024 04:18Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza ushindi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya uvamizi na jinai za Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema Mwenyezi Mungu ameruzuku ushindi mwingine wa kihistoria dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Magaidi wa kitakfiri 400 waangamizwa Syria
Nov 29, 2024 03:44Kituo cha Russia cha Hmeimim cha Maridhiano ya Kitaifa nchini Syria kimetangaza kuwa magaidi wa kitakfiri wa 400 wa kundi la Jabhatu-Nusra wameangamizwa baada ya kushambulia makao makuu ya jeshi la Syria huko Idlib na Aleppo.
-
Kuendelea jinai za Israel; kukumbwa na njaa watoto 130,000 wa Gaza
Nov 28, 2024 23:01Shirika la kimataifa la kutoa misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watoto la Save the Children limetangaza kuwa, watoto 130,000 walio chini ya umri wa miaka kumi wamezingirwa kwa siku 50 zilizopita kaskazini mwa Gaza bila chakula wala huduma matibabu.
-
Tarehe ya mazishi ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine kutangazwa hivi karibuni
Nov 28, 2024 03:50Tarehe ya mazishi ya hayati kiongozi wa Hizbullah Shahidi Sayed Hassan Nasrallah na pia kiongozi mwingine wa harakati hiyo ya muqawama Shahidi Sayyid Hashem Safieddine itatangazwa hivi karibuni.
-
Hamas: Kusitisha mapigano na Hizbullah kumesambaratisha ndoto ya Israel
Nov 28, 2024 03:44Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukubali kusitisha vita na Hizbullah ni dalili ya kusambaratika ndoto potofu ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu ya kutumia nguvu za kijeshi kubadilisha muundo wa Asia Magharibi.
-
Gazeti la Kiebrania: Utawala wa Kizayuni umepata hasara nyingi katika vita na Hizbullah
Nov 28, 2024 00:00Kufuatia kutangazwa usitishaji vita kusini mwa Lebanon, vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa vita hivyo vimeutia hasara nyingi na kuusababishia uharibifu mkubwa utawala huo wa Kizayuni.
-
Makundi ya Muqawama yapongeza msimamo thabiti wa Hizbullah baada ya Israel kushindwa
Nov 27, 2024 23:34Kundi la muqawama la kupambana na ugaidi la Iraq, Kata’ib Hizbullah, limepongeza makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya utawala haramu wa Israel na Lebanon, likisema mapatano hayo yasingewezekana bila uthabiti wa wapiganaji wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah.
-
61% ya Wazayuni: Netanyahu amegonga mwamba, Israel haijashinda vita dhidi ya Hizbullah
Nov 27, 2024 09:11Kwa mujibu wa uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel ndani ya jamii ya Wazayuni, asilimia 61 miongoni mwao wanaamini kuwa utawala huo haujapata ushindi katika vita dhidi ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Kulazimika utawala wa Kizayuni wa Israel kukubali usitishaji vita Lebanon
Nov 27, 2024 05:28Hatimaye baada ya miezi 14 ya vita na migogoro kati ya utawala wa Kizayuni na Hizbullah ya Lebanon, usitishaji vita wa siku 60 ulianza kutekelezwa asubuhi ya leo (Jumatano) baina ya pande hizo mbili.