-
Kwa nini kiwango cha kujiua katika jeshi la Israel kimefikia kiwango cha juu zaidi?
Jan 01, 2026 23:06Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Isarel, kwa kukiri kujiua kwa makumi ya wanajeshi wake, limekubali kuwa jumla ya wanajeshi 151 wamepoteza maisha katika mwaka huu wa sasa.
-
2025, mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina kufuatia mauaji ya kimbari ya Israel
Jan 01, 2026 08:51Ofisi Kuu ya Takwimu ya Palestina imeripoti kuwa mwaka 2025 ulikuwa mwaka mbaya zaidi katika uga wa kibinadamu na idadi ya jamii ya watu huko Palstina kutokana na vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuongezeka kwa ukiukaji wa sheria katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki.
-
Israel yakemewa, yalaaniwa kimataifa kwa kupiga marufuku asasi 37 zinazotoa misaada Ghaza
Jan 01, 2026 02:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani marekebisho ya sheria yaliyopitishwa na Bunge la utawala wa kizayuni wa Israel, Knesset Desemba 29, yanayohusu kusitishwa shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
Kuenea wimbi la mapambano ya umma ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi; changamoto ambayo utawala wa kizayuni haujawahi kuishuhudia
Jan 01, 2026 00:47Wachambuzi wa Kizayuni wamekiri kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uwezo wa kukabiliana na makundi mapya ya Muqawama wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Israel yasitisha shughuli za mashirika ya misaada zaidi ya 30 huko Gaza chini ya sheria mpya za usajili
Dec 31, 2025 22:55Israel imesimamisha shughuli za mashirika ya kimataifa 30 ya masuala ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza. Waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu wamekosoa na kulaani vikali hatua hiyo ya utawala wa Kizayuni.
-
Imarati yajiondoa kijeshi baada ya ndege za Saudia kushambulia mamluki wake Yemen
Dec 31, 2025 02:49Wizara ya Ulinzi ya Imarati imetangaza kwamba imeamua kujiondoa kijeshi nchini Yemen baada ya ndege za kivita za Saudia kushambulia mamluki wa Imarati kwenye bandani ya Mukalla ya Yemen.
-
2025, mwaka ulioangamiza wanajeshi wengi zaidi wa Israel
Dec 31, 2025 02:48Jeshi la Israel limetoa takwimu kuhusu kuangamizwa idadi kubwa zaidi ya wanajeshi wake mwaka huu wa 2025 unaoisha leo Jumatano na kutangaza kwamba 14% ya maangamizi hayo yametokana na vifo vya kujiua.
-
Abu Obeida; Nembo ya uvumilivu wa Wapalestina na moyo hai wa Muqawama
Dec 30, 2025 07:13Jana Jumatatu, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilithibitisha kwamba msemaji wa harakati hiyo, Abu Obeida aliuawa shahidi mapema mwaka huu katika shambulio la anga la Israel.
-
Kwa mara nyingine Saudia yaishutumu Imarati kuhatarisha usalama wake wa taifa
Dec 30, 2025 07:11Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imetoa taarifa kali mno leo Jumanne ikiushutumu Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba unahatarisha usalama wa taifa na haki ya Saudia ya kuchukua maamuzi.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wasisitiza kukabiliana na vyanzo vya machafuko katika eneo
Dec 30, 2025 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, na mwenzake wa Oman, Sayyid Badr bin Hamad bin Hamood Albusaidi, wamesisitiza umuhimu wa mashauriano na uratibu endelevu kati ya nchi za Kiislamu ili kukabiliana na sababu zinazochochea mgawanyiko na machafuko katika eneo.