-
Misri na Uhispania zatoa wito mpya wa kusitishwa mapigano Gaza na Lebanon
Oct 17, 2024 03:49Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Uhispania walitoa wito huo jana Jumatano wakitaka kusitishwa mapigano mara moja huko Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Askari 7 wa Israel waangamizwa, 49 wajeruhiwa katika mapigano na wanamuqawama wa Hizbullah
Oct 16, 2024 23:56Askari wasiopungua saba wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameripotiwa kuangamizwa katika mapigano na harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon kwenye mpaka wa kusini wa nchi hiyo na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel.
-
Lebanon yawasilisha malalamiko mapya dhidi ya Israel kwa Baraza la Usalama
Oct 16, 2024 23:23Wizara ya Mambo ya Nje ya Lebanon imesema kuwa imewasilisha malalamiko yake mapya kwa Baraza la Usalama la UN kuhusu utawala wa Kizayuni.
-
Israel imefanya kosa kubwa la kiistratijia kuua kigaidi makamanda wa Muqawama
Oct 16, 2024 07:08Balozi wa Iran nchini Lebanon amesema kuwa, jinai ya utawala wa Kizayuni ya kuwaua kigaidi makamanda wa Muqawama ni kosa kubwa la kiistratijia na kusisisitiza kuwa, Israel haiwezi kuimaliza nguvu Hizbullah kwa kuwaua kigaidi makamanda wake.
-
Qatar: Hatutaruhusu ardhi, anga yetu zitumike kushambulia majirani
Oct 16, 2024 03:38Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema nchi yake kamwe haitaruhusu Kambi ya Anga ya Al Udeid ambayo ina wanajeshi wa Marekani, Uingereza na Qatar kutumika kufanya mashambulizi dhidi ya nchi za eneo hili la Asia Magharibi.
-
Mashambulio makali ya makombora ya Hizbullah kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)
Oct 16, 2024 03:36Leo Jumatano alfajiri vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimetangaza mashambulizi ya makombora kutoka kusini mwa Lebanon katika mji wa Safad ulioko kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) na miji inayoizunguka.
-
Wapalestina 55 wauawa katika mashambulizi mapya ya Israel huko Gaza
Oct 16, 2024 01:09Mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel dhidi ya Gaza, ikiwemo Jabalia kaskazini mwa Gaza, yamesababisha vifo vya Wapalestina 55 zaidi.
-
Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah asema Israel ni tishio la kweli kwa dunia
Oct 16, 2024 01:00Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ameonya kuwa sera ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za wengine ni tishio sio tu kwa Palestina bali kwa eneo na dunia nzima.
-
OIC yalaani jinai za Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza
Oct 16, 2024 00:57Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mwenendo wa kushadidi jinai za kivita za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina hususan katika maeneo ya kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Hizbullah yatungua ndege ya kivita ya Israel isiyo na rubani
Oct 16, 2024 00:53Wapiganaji wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon wameiangusha ndege ya kivita isiyo na rubani ya jeshi katili la Israel kusini mwa Lebanon sambamba na kuvurumisha makombora katika maeneo ya kijeshi ya Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ili kulipiza kisasi jinai zinazoendelea za utawala wa Tel Aviv dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.