-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuupokonya silaha Muqawama ni mradi wa kuangamiza nguvu za Lebanon
Dec 28, 2025 23:51Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon ya Hizbullah amesema: "leo, Lebanon iko katikati ya dhoruba na mvurugiko wa utulivu kutokana na sera za Marekani na adui wa Kizayuni."
-
Russia yasisitiza haja ya kuundwa taifa huru la Palestina
Dec 28, 2025 03:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kwamba, Moscow ingali inaunga mkono suuala la kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina.
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni unaogopa uhuru wa vyombo vya habari?
Dec 27, 2025 23:16Bunge la utawala ghasibu wa Israel (Knesset) limelipa idhini baraza la mawaziri la utawala huo kufunga kanali za televisheni za kigeni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kwa muda wa miaka miwili ijayo, hata katika wakati wa amani bila ya amri ya mahakama.
-
Hamas: Kutambuana kati ya "Israel" na "Somaliland" ni mfano hatari
Dec 27, 2025 08:41Harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi wa Palestina (Hamas) imetangaza leo Jumamosi upinzani wake dhidi ya tangazo la utawala uliojitenga na Somalia katika eneo la "Somaliland" la kutambuana rasmi na Tel Aviv, ikisisitiza kuwa hatua hiyo "ni mfano hatari na jaribio lililoshindwa la kupata uhalali bandia dola vamizi linalohusika katika uhalifu wa kivita na mauaji ya kimbari."
-
Muungano wa waandishi wa habari wa Palestina: Israel 'inawanyamazisha' waandishi habari kwa mashambulizi ya kimfumo
Dec 27, 2025 06:17Chama cha Waandishi wa Habari cha Palestina kimeulaani utawala wa Israel kwa kufuata sera ya kimfumo ya kuwalenga waandishi wa habari, kikisema ukatili unaofanywa dhidi ya vyombo vya habari umeongezeka sana mwaka 2025 kama sehemu ya njama za kuzuia ripoti za Wapalestina.
-
Umoja wa Mataifa: Kujengwa vitongoji vipya Ukanda wa Gaza ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Dec 26, 2025 23:06Ripota maalum wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kukuza nidhamu ya kidemokrasia na uadilifu kimataifa amesema kuwa, kauli za Waziri wa Vita wa Israel kuhusu kuanzishwa kwa vitongoji vipya katika Ukanda wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanakabiliwa na mateso na njaa katika magereza ya Israel
Dec 26, 2025 22:54Asasi mbili za Kipalestina yametangaza kwamba, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina wanaoshikiliwa katika magereza na vituo vya kuzuiliwa vya Israel wanakabiliwa na "mateso yaliyopangwa."
-
Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria
Dec 26, 2025 08:23Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (a.S) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
-
Waziri wa Vita: Israel kamwe haitaondoka Ukanda wa Gaza
Dec 26, 2025 08:22Israel Katz Waziri wa Vita wa Israel amesisitiza kuwa Tel Aviv "kamwe haitaondoka " Gaza, na kwamba watajenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa ukanda huo, hatua ambayo ni kinyume na makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza
Dec 26, 2025 05:22Hali ya watoto wa Ukanda wa Ghaza ni ushahidi wa wazi wa janga la kibinadamu na mauaji ya kimbari ya kimfumo yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kwa muda wa miaka miwili mfululizo mbali na majanga ya kimwili, kisaikolojia, kijamii na kiutamaduni ya wakazi wa ukanda huo. Jinai hizo za Israel zinaendelea hadi hivi sasa kwa sura tofauti.