-
Kwa wiki moja, Israel imesababisha hasara ya dola milioni 7 kwenye mashamba ya Wapalestina
Dec 26, 2025 03:37Wizara ya Kilimo ya Palestina imetangaza kuwa, ndani ya muda wa wiki moja, uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel na walowezi haramu umeharibu zaidi ya mizeituni 8,000 katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kusababisha hasara ya karibu dola milioni saba.
-
Kiongozi wa Wakurdi wa SDF: Suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuwa na serikali ya shirikisho
Dec 26, 2025 03:19Kamanda wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria (SDF), Mazloum Abdi amesema katika taarifa kwamba suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuachana na mfumo wa utawala uliopita na kuelekea kwenye serikali ya shirikisho.
-
Hamas yasambaza simulizi ya pili ya kimbunga cha al Aqsa, Muqawama hauwezi kufutwa
Dec 25, 2025 23:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa simulizi yake ya pili kuhusiana na Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa dhidi ya Israel iliyoendeshwa kwa mafanikio Oktoba 7, 2023, ikisisitiza kwamba, Muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala katili wa Kizayuni hauwezi kusambaratishwa.
-
Al-Sudani apinga vikali uhusiano wa Iraq na Israel
Dec 25, 2025 23:32Waziri Mkuu wa Iraq aliyemaliza muda wake, Mohammed Shi'a al Sudani amepinga vikali uhusiano wa aina yoyote ile baina ya nchi yake na utawala pandikizi wa Israeli, akissisitiza kwamba jambo kama hilo halina nafasi katika muundo wa kisiasa wa Iraq wala katika mfumo wa kisheria wa taifa hilo la Kiarabu.
-
Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni
Dec 25, 2025 09:53Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini humo umechuukua wigo mpana zaidi.
-
Nchi 14 zikiwemo za EU zalaani mpango wa ujenzi haramu Ukingo wa Magharibi
Dec 25, 2025 03:10Kundi la nchi 14 zikiwemo za Ulaya limetoa taarifa ya pamoja ya kulaani vikali uamuzi wa Israel wa kuanzisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Hamas yasisitiza kuwa haitaweka chini silaha
Dec 24, 2025 23:09Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imetangaza wazi kuwa haitakubali jaribio lolote la kuipokonya silaha, ikionya dhidi ya kuingiliwa mambo ya Palestina na mataifa ya kigeni. Hamas imesisitiza kuwa inahitaji dhamana zilizo wazi na madhubuti zaidi kwa awamu ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano na utawala wa Israel.
-
Wazayuni wajigamba kwa kuishambulia kijeshi Qatar
Dec 24, 2025 07:56Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa ameishambulia Qatar kwa maneno makali na kutamba kuwa shambulio la miezi ya hivi karibuni lililofanywa na Israel nchini Qatar lilikuwa ni "hatua sahihi" iliyokuwa ya lazima kuchukuliwa.
-
Waziri wa Vita wa Israel afuta haraka matamshi yake kuhusu uvamizi
Dec 24, 2025 07:56Waziri wa Vita wa Israel amelazimika kufuta matamshi yake saa chache tu baada ya kudai kuwa kamwe utawala wa Kizayuni hautaondoa wanajeshi wake vamizi kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Mufti wa Al-Azhar: Kiwango cha dhulma ilichofikia kadhia ya Palestina hakimruhusu mtu kubaki njiapanda
Dec 23, 2025 23:09Taasisi kubwa zaidi ya Kiislamu nchini Misri ya Al-Azhar imesema, piganio la haki la Palestina limefikia kiwango cha dhulma na ukandamizwaji ambacho hakimruhusu mtu kubaki njiapanda na kudai kuwa haegemei upande wowote.