-
Maelfu ya Waisrael wafurika kwenye ubalozi wa Ureno Tel Aviv kuomba uraia wa nchi hiyo
Dec 01, 2025 02:14Tovuti ya gazeti la kizayuni la Times of Israel imeripoti kuwa, maelfu ya Waisrael wamepanga foleni ndefu mbele ya ubalozi wa Ureno mjini Tel Aviv kwa lengo la kuomba uraia wa nchi hiyo.
-
Ripoti: Wayahudi huwatemea mate watalii Wakristo wanaotembelea Quds (Jerusalem)
Nov 30, 2025 23:17Ripoti mpya imeibua taswira ya matukio ya unyanyasaji na mashambulizi unaotekelezwa na Wayahudi dhidi ya wageni Wakristo wanaotembelea Mji wa Kale wa al-Quds (Jerusalem).
-
UN yalaani sera ya Israel ya mateso ya kupangwa dhidi ya Wapalestina
Nov 30, 2025 09:12Kamati ya Umoja wa Mataifa dhidi ya Mateso (CAT) imeulaani utawala wa Israel kwa kutekeleza sera ya "mateso ya kupangwa" dhidi ya Wapalestina.
-
Changamoto mbili zinazoutesa utawala wa Kizayuni baada ya vita vya siku 12 dhidi ya Iran
Nov 30, 2025 06:19Katika ripoti yake ya hivi karibuni kabisa, tovuti ya Middle East Eye imefanya uchunguzi kuhusu changamoto zinazoikabili Tel Aviv baada ya vita vya kivamizi na kichokozi vya siku 12 ilivyovianzisha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais wa Pakistan: Israel lazima iwajibike kwa uhalifu wa kivita Gaza
Nov 30, 2025 04:09Rais wa Pakistan Asif Ali Zardari ametoa pongezi kwa wananchi wa Palestina katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na Palestina akisema: "Juhudi na ujasiri wenu usio wa kuchoka umeunda sura mpya katika historia."
-
Foleni za watu wenye njaa huko Ghaza zimezidi kuwa ndefu + Picha
Nov 29, 2025 23:06Licha ya kusitishwa mapigano huko Ghaza, lakini bado mateso ya njaa na ukosefu wa usalama na utulivu wa nafsi yanaendelea kuzisumbua familia za Wapalestina. Foleni ndefu za watu wenye njaa wanaosubiri kupata angalau mlo mmoja kwa siku zinaendelea kuonekana katika pembe mbalimbali za ukanda huo huku jeshi katili la Israeli likiendeleza mashambulizi ya mara kwa mara na kuzuia kuwafikia misaada wananchi hao wasio na ulinzi.
-
Israel: Hatuna mpango kabisa wa kuondoka kusini mwa Syria
Nov 29, 2025 23:05Jeshi la Israel limejigamba kuwa halina mpango kabisa wa kuondoka kwenye ardhi ulizozivamia na kuzikalia kwa mabavu huko Syria licha ya wanajeshi wake sita kujeruhiwa wakati wananchi wa Syria walipoamua kupambana na Wazayuni hao maghasibu.
-
Hizbullah: Tutaamua 'wakati na mahala' pa kutolea jibu la mauaji ya Tabatabai yaliyofanywa na Israel
Nov 29, 2025 07:45Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchini Lebanon ya Hizbullah amesema, harakati hiyo ina haki ya kutoa jibu kwa shambulio la kigaidi lililofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel lililomuua Kamanda wake mwandamizi Haytham Ali Tabatabai, na akaongeza kuwa Hizbullah yenyewe itaamua wakati na mahali pa kutolea jibu hilo.
-
Amnesty International: Israel inaendelea kufanya mauaji ya kimbari Ghaza
Nov 29, 2025 07:44Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, utawala wa kizayuni wa Israel "unaendelea bila kusita kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina huko Ghaza, licha ya usitishaji mapigano" ulioanza kutekelezwa tarehe 10 Oktoba.
-
Kwa nini Mamlaka ya Ndani ya Palestina imezidi kuwatia nguvuni watu kwa malengo ya kisiasa?
Nov 29, 2025 05:52Hatua ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuzidisha kasi ya kuwatia mbaroni watu kwa malengo ya kisiasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imekabiliwa na upinzani na wasiwasi wa Wapalestina kuhusiana na matokeo mabaya ya hatua hiyo.