-
HAMAS yaendelea kuwatwanga kwa maroketi wanajeshi vamizi wa Israel
Feb 16, 2024 23:18Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeendelea kuwatwanga kwa maroketi wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kujibu jinai zinazofanywa na Wazayuni hao makatili dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Athari mbaya za kuendelea sera za vita za Marekani na Uingereza katika Bahari Nyekundu
Feb 16, 2024 04:42Marekani na Uingereza zinaendelea kuzua hali ya wasiwasi na vita katika Bahari Nyekundu licha ya pingamizi na maonyo ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Hizbullah: Mhimili wa Muqawama umedhamiria kwa dhati kuikomboa Palestina kwa gharama yoyote
Feb 16, 2024 04:23Harakati ya Muqawama wa Lebanon ya Hizbullah imesema Mhimili wa Muqawama katika eneo umeazimia kuikomboa Palestina kutoka kwenye makucha ya uvamizi na ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa gharama yoyote.
-
Askari katili wa Israel wamuua baba na mama Wapalestina mbele ya watoto wao wadogo
Feb 15, 2024 23:55Katika muendelezo wa mauaji ya kimbari dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Ghazza, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua kwa kuwapiga risasi wazazi wa watoto kadhaa wa Kipalestina mbele ya macho yao.
-
Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni
Feb 15, 2024 23:16Serikali ya Lebanon imesema itawasilisha faili la malalamiko dhidi ya Israel katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kufuatia hatua ya utawala huo wa Kizayuni kufanya shambulio hatarishi la ndege zisizo na rubani na kuua watu kadhaa kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Umoja wa Mataifa: Idadi ya raia waliouawa huko Gaza haijawahi kushuhudiwa
Feb 15, 2024 23:13Mkuu wa Kitengo cha Asia Magharibi katika Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema: Idadi ya raia na waandishi wa habari waliouawa huko Gaza haina mfano.
-
Wapalestina wengine 14 wauawa shahidi; US, UK zaendeleza mashambulizi Yemen
Feb 15, 2024 07:34Wapalestina wengine 14 wauawa shahidi katika kambi ya wakimbizi ya al Nasirat katikati mwa Ukanda wa Ghaza baada ya wanajeshi makatili wa Kizayuni kufanya mashambulizi kwenye maeneo ya raia. Jinai hiyo imefanyika huku Marekani na Uingereza nazo zikiendelea kuishambulia Yemen ili kuunga mkono jinai za Israel huko Ghaza.
-
Ukumbi wa Tamthilia wa Uhuru wa Ukingo wa Magharibi ulioharibiwa na Israel wateuliwa kwa Tuzo ya Amani ya Nobel
Feb 15, 2024 04:20Ukumbi wa tamthilia wa Uhuru ulioharibiwa kwa risasi za jeshi za Israel huko Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu umeteuliwa kwa ajili ya Tuzo ya Amani ya Nobel huku Wapalestina wakitumai kuwa, kituo hicho cha masuala ya kitamaduni kitaendelea kuzalisha wapigania uhuru kupitia sanaa kutoka ndani ya kambi ya wakimbizi ya Jenin.
-
Hizbullah yaapa kujibu mashambulizi ya Israel yaliyoua raia wakiwemo watoto wawili
Feb 15, 2024 04:19Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani mashambulizi ya hivi karibuni zaidi ya Israel kusini mwa Lebanon yaliyosababisha vifo vya watu kadhaa wakiwemo watoto wawili, ikiapa kwamba majibu ya harakati ya Muqawama ya Lebanon yako njiani.
-
Sababu ya kumalizika mazungumzo ya Cairo kuhusu vita vya Gaza bila ya kuwa na tija yoyote
Feb 15, 2024 03:52Mazungumzo ya Cairo ya kujadili kadhia ya mateka wa Israel na Palestina kwa lengo la kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita vya Gaza yamemalizika bila ya kupatikana tija yoyote.