-
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lapasisha maazimio 5 ya kuunga mkono Palestina
Dec 06, 2025 04:24Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa wingi maazimio matano kwa ajili ya Palestina, ikiwa ni pamoja na kuongeza muda wa shirika la UNRWA, kulaani vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na kuunga mkono haki za wakimbizi wa Kipalestina.
-
Nchi za Kiislamu zaonya kuhusu mpango wa Israel wa kuwahamisha kwa nguvu raia wa Gaza
Dec 06, 2025 04:20Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi nane za Kiislamu wameeleza wasi wasi wao mkubwa kutokana na matamshi ya hivi karibuni ya maafisa wa Israel kuhusiana na kufunguliwa kwa upande mmoja kivuko cha Rafah na kuwahamishia wakaazi wa Gaza nchini Misri.
-
Uvamizi wa kijeshi wa Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi unaendelea
Dec 05, 2025 23:12Duru za habari zimeripoti kwamba wanajeshi na walowezi wa Kizayuni wameendelea kuvamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kuchoma moto nyumba za Wapalestina na kushambulia raia wasio na ulinzi.
-
Mwanamfalme wa Saudia: Tishio hasa la Asia Magharibi ni Israel, si Iran
Dec 05, 2025 23:12Turki Al-Faisal, mwanamfalme wa Saudi Arabia ambaye pia ni mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Saudia amesisitiza katika mkutano wa kimataifa huko Abu Dhabi kwamba, kinyume na wanavyodai baadhi ya watu, tishio hasa la eneo hili la Asia Magharibi si Iran bali ni utawala wa Kizayuni ambao ndio unaohatarisha utulivu wa eneo hili lote.
-
Hamas: Mwisho wa Abu Shabab ndio hatima isiyoepukika ya kila msaliti
Dec 05, 2025 07:20Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeonya kwamba mauaji ya mshirika wa Israel na kiongozi wa genge lenye uhusiano na Daesh, Yasser Abu Shabab, ni hatima isiyoepukika ya kila mtu anayechagua kulisaliti taifa na nchi yake na kushirikiana na utawala ghasibu wa Israel.
-
Wairaqi waunga mkono Hizbullah na Ansarullah baada ya tangazo la kuzuiliwa mali zao kimakosa
Dec 05, 2025 04:21Mitaa ya mji mkuu wa Iraq, Baghdad usiku wa kuamkia leo ilishuhudia misafara mirefu ya magari, yaliyokuwa yakipeperusha bendera za harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah ya Lebanon na Ansarullah ya Yemen, na kutangaza mshikamano wa umma na harakati hizo za Muqawama dhidi ya vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Yasser Abu Shabab, mshirika wa Israel na msaliti wa Wapalestina wa Ghaza aripotiwa kuuawa
Dec 05, 2025 03:25Yasser Abu Shabab, mshirika wa kijeshi wa utawala wa kizayuni wa Israel mwenye uhusiano pia na kundi la kigaidi la DAESH (ISIS), maarufu kwa kuongoza uporaji wa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza na kwa kuwalenga kwa kuwaua raia wa Palestina, ameripotiwa kuuawa katika eneo hilo.
-
Hamas: Israel iwajibishwe kwa kuzika mamia ya miili ya Wapalestina kwenye makaburi ya umati
Dec 04, 2025 23:27Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imezitaka mahakama za kimataifa na vyombo husika kuwafungulia mashtaka wale waliohusika wa uhalifu wa kivita baada ya uchunguzi kufichua kwamba wanajeshi wa Israel waliteketeza miili ya Wapalestina waliokuwa katika safu za kupokea misaada na kuizika katika makaburi yasiyo na kina huko Gaza.
-
Vita vya Kijasusi; Kadi ya Ushindi ya Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Dec 04, 2025 08:41Meya wa Bat Yam katikati ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, zilizopachikwa jina bandia la Israel, amekiri kuongezeka kwa ushawishi wa kijasusi wa Iran.
-
Microsoft yalaumiwa kuhusika na jinai za Israel za maauaji kimbari dhidi ya Gaza
Dec 04, 2025 08:35Muungano wa makundi ya kisheria umelionya shirika la Microsoft kwamba utoaji wake wa huduma kwa Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari huko Gaza huenda ukaifanya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia ya Marekani ishtakiwe katika mahakama za kimataifa.