-
UN: Israel inaendelea kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Nov 11, 2025 04:07Umoja wa Mataifa umesema Israel inaendelea kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia huko Gaza; mwezi mmoja baada ya kuanza kutekelezwa makualiano ya kusimamisha vita.
-
Waandishi habari 44 kati 270 waliouawa na Israel huko Gaza waliuawa wakiwa kwenye mahema ya wakimbizi
Nov 10, 2025 06:21Kundi la kutetea haki za waandishi wa habari wa Palestina limeripoti kuwa jeshi la Israel limewaua waandishi wa habari 44 wa Palestina katika mahema ya wakimbizi huko Gaza, wakiwa kati ya zaidi ya wafanyakazi 270 wa vyombo vya habari waliouawa na utawala huo katika eneo linalozingirwa la Ukkanda wa tangu Oktoba 2023.
-
HAMAS: Lengo la safari ya rais wa Israel Afrika ni kubadilisha misimamo ya nchi zinazounga mkono Palestina
Nov 10, 2025 02:48Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa safari ya rais wa utawala ghasibu wa kizayuni katika nchi za Afrika ni jaribio la kutaka kubadilisha msimamo wa nchi hizo wa zinazopinga ukoloni na kuunga mkono haki za watu wa Palestina.
-
Afisa wa Yemen: Mtandao wa ujasusi wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unataka kukomesha himaya ya Yemen kwa Palestina
Nov 09, 2025 08:19Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amevipongeza vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwa kuvunja mtandao wa ujasusi uliounganishwa na mashirika ya ujasusi ya Marekani, Israel na Saudi Arabia, akisema kuwa kundi hilo la ujasusi lilitaka zaidi kupunguza uungaji mkono na himaya ya serikali ya Sana'a kwa Palestina.
-
Israel yaua watu watatu Kusini mwa Lebanon baada ya kutishia mashambulizi mapya ya kijeshi
Nov 09, 2025 04:01Jeshi la Israel limewaua watu watatu katika maeneo ya kusini mwa Lebanon kupitia mashambulizi ya anga yaliyotekelezwa kwa nyakati tofauti, siku chache tu baada ya kutoa onyo la kuanzisha mashambulizi makubwa dhidi ya taifa hilo jirani.
-
Iraq yaanza upigaji kura maalum wa uchaguzi wa bunge kwa wanajeshi na wakimbizi
Nov 09, 2025 03:50Mchakato wa upigaji kura maalum kwa ajili ya wanajeshi na wakimbizi katika uchaguzi wa bunge la Iraq umeanza rasmi leo Jumapili katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Hizbullah ina uwezo wa kuipiga Israel kwa makombora 7,500 angamizi
Nov 08, 2025 23:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ambayo ina viongozi wapya na kwa kiasi kikubwa viongozi wake hivi sasa ni vijana, imefanikiwa kurejesha nguvu zake na kama Israel itafanya kosa lolote la kipumbavu, basi Hizbullah ina uwezo wa kuitwanga kwa makombora 7,500 angamizi.
-
Israel yaendelea kukanyaga makubaliano ya kusitisha vita Ghaza
Nov 08, 2025 23:09Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kukanyaga makubaliano ya kusimamisha vita Ghaza na umefanya mashambulizi mapya dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa ukanda huo iliouzingira kila upande.
-
Ehud Barak: Utawala wa Israel umo katika hatari ya kusambaratika kabisa
Nov 08, 2025 06:58Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel Ehud Barak ameonya katika matamshi kuwa utawala wa Israel unaporomoka mbele ya macho ya Wazayuni.
-
Nabih Berri: Haiwezekani kwa Lebanon kuanzisha uhusiano na Israel
Nov 08, 2025 06:55Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza kuwa, yeyote anayetaka kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel anapaswa kujua kwamba, jambo kama hilo haliwezekani.