-
UN: Mashambulizi ya walowezi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi yamefikia kiwango cha juu zaidi
Nov 08, 2025 04:27Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba walowezi wa Israel wamefanya mashambulizi yasiyopungua 264 dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu mwezi uliopita wa Oktoba, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya kila mwezi tangu maafisa wa Umoja wa Mataifa walipoanza kufuatilia mashambulizi kama hayo mwaka 2006.
-
Je, Gaza itaweza kuepuka mzunguko wa kudumu wa mgogoro bila kufanyika ukarabati wa kimuundo?
Nov 07, 2025 09:02UNICEF kwa mara nyingine tena imetahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya mgogoro wa kibinadamu huko Gaza na kusema kuwa zaidi ya watoto milioni moja katika ukanda huo bado wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa maji na chakula, na kuwa wengi hulala njaa kila usiku licha ya kusitishwa mapigano.
-
Iran, Mhimili wa Muqawama zalaani ushadidishaji 'hatari' wa mashambulio ya Israel ndani ya Lebanon
Nov 07, 2025 08:06Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi jipya la uchokozi wa kijeshi unaozidi kufanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, na kuikumbusha jamii ya kimataifa na nchi za kikanda kuhusu wajibu wao wa kukabiliana na uchochezi wa vita wa Tel Aviv, kwa kuuwajibisha na kuuadhibu utawala huo ghasibu.
-
UN: Israel imekataa maombi zaidi ya 100 ya kuingiza misaada Ghaza tangu vita viliposimamishwa
Nov 07, 2025 06:47Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, tangu yalipoanza kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita tarehe 10 Oktoba, utawala wa kizayuni wa Israel umekataa maombi 107 ya kuingizwa vifaa vya misaada katika Ukanda wa Ghaza, na hivyo kuzuia vifaa muhimu vya kibinadamu kuwafikia Wapalestina wa eneo hilo wanaoishi katika mazingira magumu na ya mateso.
-
Jordan yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Nov 07, 2025 03:57Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jordan imetangaza kuwa, inalaani vikali uamuzi wa hivi karibuni wa utawala ghasibu wa Israel wa kutangaza zabuni ya ujenzi wa vitongoji vipya 356 vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
-
Wanawake 400 wa Kipalestina na watoto wangali wanashikiliwa mateka na Israel
Nov 07, 2025 03:56Mashirika matatu ya Kipalestina yanayohusiana na masuala ya mateka yametangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel unawashikilia Wapalestina 9,250 wakiwemo wanawake 49 na watoto 350 katika jela zake.
-
Ripoti ya kushtusha ya Umoja wa Mataifa; mauaji ya kimbari ya Wapalestina Ghaza yangali yanaendelea
Nov 06, 2025 23:17Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza yangali yanaendelea.
-
Hizbullah: Hatutaki mazungumzo na Israel, hatutaki makubaliano nao
Nov 06, 2025 23:06Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeandika barua ya wazi kuhusu mitego iliyowekwa na Wazayuni kupitia kile kinachodaiwa ni mazungumzo ya amani na kusema kuwa, lengo la mazungumzo hayo ni kulitwisha taifa la Lebanon siasa za upande mmoja za Israel na kuvunja nguvu mwamko wa wananchi wa Lebanon wa kupigania haki zao mbele ya adui mpenda vita. Imesema: Mapambano ndiyo yanayolifanya taifa kubaki kuwa na heshima.
-
Takriban watu 90 wamefariki dunia baada ya kimbunga cha Kalmaegi kuiathiri Ufilipino
Nov 06, 2025 07:40Watu wasiopungua 90 wamefariki dunia na wengine 75 hawajulikani walipo hadi sasa kufuatia kimbunga cha Kalmaegi kuathiri maeneo ya kati ya Ufilipino jana Jumatano.
-
Google yafuta ushahidi wa video za uhalifu wa Israel huko Palestina
Nov 06, 2025 07:38Nyaraka zilizopatikana zinaonyesha kwamba kampuni ya Kimarekani ya Google imefuta zaidi ya video 700 zinazoonyesha uhalifu wa kivita wa utawala wa Israel kutoka kwenye mtandao wa intaneti.