-
UN: Israel imeua makumi ya Wapalestina ndani ya wiki tatu
Feb 05, 2023 07:13Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewaua shahidi makumi ya Wapalestina katika kipindi cha wiki tatu, katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, hayo yamesemwa na Umoja wa Mataifa.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia nchini Iraq
Feb 04, 2023 07:42Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Saudi Arabia, Faisal bin Farhan Al-Saud, tarehe Pili Februari alitembelea Iraq. Safari hiyo ya Bin Farhan inaweza kutathminiwa katika kalibu ya masuala ya kikanda na kimataifa.
-
Palestina yafichua: Ulaya inatushinikiza tuchukue msimamo wa kuilaani Russia
Feb 03, 2023 22:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefichua kuwa Ulaya inaishinikiza Palestina ichukue msimamo wa kuilaani Russia sambamba na kueleza kwamba amepokea mwaliko kutoka kwa mwenzake wa Russia wa kuzuru Moscow.
-
Amnesty International: Saudia inaitumia vibaya michezo kufunika jinai zake
Feb 03, 2023 22:45Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa utawala wa Saudi Arabia unaitumia vibaya michezo kuficha rekodi yake chafu, ya maafa na ya kutisha ya haki za binadamu.
-
AI: Lazima utawala wa Israel uvunje mfumo wa ubaguzi wa rangi
Feb 02, 2023 23:43Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema utawala wa Israel "lazima uvunje mfumo wa ubaguzi wa rangi au apathaidi ambao unasababisha mateso na umwagaji damu mkubwa" katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Sababu za kuongezeka hukumu za kifo nchini Saudi Arabia baada ya Bin Salman kuingia madarakani
Feb 02, 2023 23:36Shirika la Haki za Binadamu la Ulaya-Saudia, limetangaza katika ripoti ya karibuni kwamba hukumu za kifo au unyongaji wakati wa utawala wa mrithi wa kiti cha ufalme Mohammed bin Salman nchini Saudi Arabia zinaongezeka karibu mara mbili kila mwaka.
-
Wanamuqawama wa Palestina wajibu mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni Ghaza
Feb 02, 2023 04:37Utawala wa Kizayuni leo asubuhi umeyashambulia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Ghaza ambapo hujuma hiyo imekabiliwa na jibu la makundi ya wanamuqawama wa Palestina ambao wamevurumisha maroketi kadhaa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kandokando ya Ukanda wa Ghaza.
-
Qatar: Tunaendelea kufanya juhudi ili kufikiwa mapatano kati ya Iran na Magharibi
Feb 02, 2023 04:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesisitiza kuendelezwa juhudi ili kukurubisha mitazamo kati ya Iran na nchi za Magharibi katika mazungumo ya nyuklia.
-
Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Qur'ani ni ishara ya kufilisika kimaadili kwa nchi za Magharibi
Feb 01, 2023 08:37Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika baadhi ya nchi za Magharibi, vitendo vya kigaidi na kuuawa Waislamu huko Pakistan ni ishara ya kufilisika nchi za Magharibi.
-
Baraza la Usalama lalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan
Feb 01, 2023 04:02Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan.