-
Radiamali ya watumiaji X kwa mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza: hatuamini, Trump si mwaminifu
Oct 04, 2025 06:14Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamesisitiza haja ya kuwa macho dhidi ya mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza.
-
Umoja wa Mataifa wakaribisha taarifa ya Hamas kuhusu usitishaji vita Gaza
Oct 04, 2025 04:01Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas inayoonyesha utayarifu wake wa kuwaachilia mateka na kukubali kwa masharti mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Israel yatoa amri ya kusitisha uvamizi Ghaza baada ya HAMAS kukubali kwa masharti mpango wa kusimamisha vita
Oct 03, 2025 23:40Chombo komoja cha habari cha utawala wa Kizayuni kimedai kuwa jeshi la Israel limeamuru kupunguzwa operesheni za kijeshi huko Ghaza baada ya Hamas kukubali kwa masharti mpango wa nukta 20 wa Donald Trump kuhusu kusimamishwa vita kwenye ukanda huo.
-
Mkuu wa UNRWA atoa indhari: Israel inaelekea kufanya "mauaji ya halaiki ya idadi kubwa" katika Mji wa Ghaza
Oct 03, 2025 07:10Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametahadharisha kwamba utawala wa kizayuni wa Israel inaonekana unapanga kufanya "mauaji ya halaiki ya idadi kubwa" katika Mji wa Ghaza huku ukiwa unashadidisha mzingiro wake na mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya mji huo.
-
Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu
Oct 03, 2025 07:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar amesema mpango wa amani wa vipengele 20 uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya Ghaza sio ule ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Pakistan.
-
Mauaji ya Kimbari ya Marekani na Israel Gaza: Idadi ya vifo yapanda hadi 66,225
Oct 03, 2025 04:19Vikosi katili vya Israel vinaendelea kuongeza ukatili dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, vikisababisha vifo na majeraha kwa idadi kubwa ya watu, hususan katika maeneo ya kati na kusini mwa eneo hilo.
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen: Mpango wa Trump kuhusu Gaza ni 'ramani ya Kizayuni' ya kufuta haki za Wapalestina
Oct 03, 2025 04:14Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Ukanda wa Gaza baada ya vita ni “ramani ya Kizayuni” inayolenga kufuta haki za Wapalestina na kuimarisha udhibiti wa eneo hilo.
-
Watumiaji X katika kuunga mkono msafara wa Sumud: Kila meli ni sauti ya kutaka uhuru wa Palestina
Oct 03, 2025 03:32Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wameuita msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud kuwa meli ya ukarimu na utu wa binadamu.
-
Hamas: Mashambulizi ya Israel dhidi ya msafara wa Sumud ni 'ugaidi wa baharini'
Oct 03, 2025 00:01Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud ukielekea Ukanda wa Gaza.
-
Afrika Kusini yaitaka Israel iwaachie wanaharakati wa msafara wa Sumud
Oct 03, 2025 00:00Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa jana Alkhamisi alitaka kuachiliwa mara moja kwa Waafrika Kusini na raia wengine wa kigeni wanaozuiliwa na jeshi la Israel, baada ya wanajeshi wa majini wa utawala huo haramu kushambulia msafara wa kibinadamu uliokuwa unaelekea Gaza.