-
Bunge la Israel lapasisha uamuzi wa kujinaisha upeperushaji wa bendera ya Palestina
Jun 02, 2022 05:41Bunge la utawala haramu wa Israel limepasisha uamuzi wa awali wa kupiga marufuku kutundikwa na kupeperushwa bendera ya Palestiina katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
-
Makubaliano ya serikali ya Islamabad na Taliban ya Pakistan ya kusimamisha vita kikamilifu
Jun 01, 2022 21:54Taarifa kutoka Afghanistan zinasema kuwa, kumepigwa hatua nzuri katika mazungumzo baina ya serikali ya Islamabad na kundi la Taliban la Pakistan linalojulikana kwa jina la Tehrik-i-Taliban Pakistan (TTP) kwa upatanishi wa kundi la Taliban la Afghanistan. Taarifa hizo zinasema kuwa pande mbili zimefikia makubaliano ya kusimamisha vita kikamilifu baina yao katika mazungumzo yanayoendelea mjini Kabul.
-
Rais Mahmoud Abbas alaani kimya cha jamii ya kimataifa kwa jinai za Israel
Jun 01, 2022 21:53Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali kimya cha jamii ya kimataifa na kutochukua kwake hatua yoyote ya maana kukabiliana na vitendo vya kinyama na jiinai za utawala ghasaibu wa Israel huko Palestina.
-
Wanajeshi wa Israel wampiga risasi na kumuua mwanamke Mpalestina
Jun 01, 2022 05:45Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi mwanamke Mpalestina kwa kisingizio kuwa eti alikuwa analenga kutekeleza shambulizi la kujitolea kufa shahidi.
-
Palestina: Si msikiti wa Al Aqsa pekee Palestina unaovamiwa na kuvunjiwa heshima na Wazayuni
Jun 01, 2022 03:37Wizara ya Waqfu ya Palestina imetangaza kuwa, mbali na Al Aqsa, kuna misikiti mingine mingi Palestina katika Ufukwe wa Magharibi inayovamiwa na kuvunjiwa heshima na wazayuni.
-
Askari wanne wa Kizayuni, Wapalestina watatu wajeruhiwa katika mapigano yaliyotokea Msikiti wa Al Aqsa
May 31, 2022 22:25Askari wanne wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na Wapalestina watatu wamejeruhiwa katika mapigano yaliyotokea Jumanne kati ya jeshi la Kizayuni na Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa.
-
Matukio 191 ya mapigano yamejiri Palestina kupinga 'maandamano ya bendera'
May 31, 2022 07:49Katika muda wa masaa 48 yaliyopita maeneo mbalimbali ya Ufukwe wa Magharibi yamekuwa uwanja wa makabiliano na mapigano makali baina ya Wapalestina na Wazayuni yaliyotokana na upinzani wa Wapalestina dhidi ya 'maandamano ya bendera' yaliyofanywa na walowezi wa Kizayuni.
-
Wayemeni watumia makombora kufikisha chakula maeneo yaliyowekewa mzingiro
May 31, 2022 06:53Wayemen wamebuni njia mpya ya kufikisha misaada ya chakula kwa raia waliowekewa mzingiro katika wilaya ya Ad Durayhimi mkoani Al-Hudaydah.
-
Safari ya kwanza ya ndege ya biashara kutoka Sana'a kuelekea Cairo baada ya miaka 6
May 31, 2022 03:08Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imetangaza habari ya kuanza safari ya kwanza ya ndege kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a kuelekea Cairo Misri ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka sita.
-
Hamas: Mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yanaendelea hadi mwisho
May 31, 2022 03:04Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yataendelea hadi wavamizi hao wa ardhi za Palestina na za Waislamu watakapotimuliwa kikamilifu katika ardhi hizo.