-
Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran
Feb 03, 2026 03:11Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, Mike Pompeo, amekiri kwamba, Washington ilikuwa na mchango wa moja kwa moja katika ghasia za hivi karibuni nchini Iran, akisema Marekani "iliwasaidia moja kwa moja" wafanya fujo.
-
Nazma Khan: Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi inalenga kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu
Feb 03, 2026 02:27Nazma Khan, mwanzilishi wa "Siku ya Hijabu Duniani", ameiambia televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kwamba chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi haiishii tena katika vitendo vya ukatili au uonevu, bali imechukua sura hatari zaidi ya kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu kwa jina la kutetea haki zao.
-
Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5
Feb 03, 2026 02:26Majeshi ya nchi za Ulaya yamefanya jinai barani Ulaya na katika mabara mengine duniani katika karne chache zilizopita.
-
Maelfu waandamana kote Ulaya kuunga mkono Palestina, kulaani ukatili wa Israel
Feb 01, 2026 10:32Waelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mitaani katika nchi kadhaa za Ulaya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina, huku wakiushutumu utawala wa Israel kwa kukiuka mara kwa mara makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kati yake na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
Majasusi wa Magharibi: Iran haiundi silaha za nyuklia
Feb 01, 2026 09:41Mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi yamesema hakuna dalili yoyote inayoashiria kwamba Iran inarutubisha urani kwa ajili ya "kufikia kiwango cha mabomu," gazeti la New York Times limeripoti, likinukuu vyanzo mbali mbali.
-
US yaidhinisha kuiuzia silaha Israel za $ bilioni 6.6 zikiwemo inazotumia kuulia Wapalestina
Feb 01, 2026 02:27Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 6.67 kwa utawala wa kizayuni wa Israel wakati huu ambapo kuna usitishaji mapigano unaolegalega katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
Mafaili mapya ya Epstein yafichua namna Trump alivyombaka binti wa miaka 13
Jan 31, 2026 12:54Wizara ya Sheria ya Marekani imetoa mamilioni ya nyaraka mpya zinazohusiana na kesi ya Jeffrey Epstein, mtendajinai aliyepatikana na hatia ya makosa ya kingono dhidi ya watoto, kabla ya kuondoa baadhi ya kurasa zilizokuwa na malalamiko yaliyomtaja Rais Donald Trump.
-
Amnesty International: Serikali ya Marekani inakandamiza vyombo vya habari na kuvizuia kueleza ukweli
Jan 31, 2026 07:10Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, serikali ya Marekani inakandamiza vyombo vya habari na kuvizuia kueleza ukweli.
-
Ushirikiano wa Starmer na Trump; madai mapya dhidi ya mpango wa nyuklia wa amani wa Iran
Jan 31, 2026 03:34Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya mpango wa nyuklia wa amani wa Iran.
-
Mgogoro mkali wa kidiplomasia.. Afrika Kusini na Israel zawatimua wanadiplomasia
Jan 31, 2026 03:31Uhusiano wa kidiplomasia kati ya Israel na Afrika Kusini uliingia katika mgogoro mkubwa na usio wa kawaida jana Ijumaa, baada ya pande zote mbili kutangaza maafisa wa kidiplomasia wa kila upande kuwa watu wasiofaa na kuwaamuru waondoke ndani ya saa 72.