-
Mauaji ya kimbari, ubaguzi wa rangi, na ukoloni... Je, Kanisa la Uingereza limeipa mgongo Israel?
Jul 11, 2026 03:03Gazeti la Times la London limeripoti kwamba Rabi Mkuu wa Mayahudi wa Uingereza, Sir Ephraim Mirvis, amelitaka Kanisa la Uingereza kukataa kujadili ripoti inayoelezea vita vya Israel huko Gaza kuwa ni "mauaji ya kimbari," akidai kwamba kupitishwa hati hiyo kunaweza kuharibu uhusiano kati ya Wayahudi na Wakristo uliojengwa kwa miongo kadhaa.
-
Iran: Hatua za Marekani ni mfano wa wazi wa uhalifu mkubwa wa kivita
Jul 11, 2026 02:41Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya maeneo kadhaa katika mikoa ya pwani ya kusini mwa nchi pamoja na madaraja mawili yaliyopo katika mikoa ya mashariki kwenye njia ya reli inayoelekea mji mtakatifu wa Mashhad, yanajumuisha uhalifu mkubwa wa kivita.
-
Saratani inaua 26,000 kwa siku, WHO yafichua pengo la maisha kati ya matajiri na maskini
Jul 09, 2026 10:42Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imeonya kwamba saratani inaweka mzigo mkubwa wa kibinadamu na kiuchumi kwa jamii duniani kote, ikichukua uhai wa zaidi ya watu 26,000 kila siku na kudhihirisha ukosefu mkubwa wa usawa katika viwango vya maisha kati ya nchi tajiri na maskini.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Austria: Iran sasa ni dola kubwa lenye ushawishi
Jul 07, 2026 03:25Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Austria amesema, akiashiria nafasi ya ustaarabu wa maelfu ya miaka wa Iran katika historia ya dunia, kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa sasa imegeuka kuwa moja ya mataifa makubwa yenye ushawishi katika ngazi ya kimataifa.
-
Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani wasema vita vya Trump dhidi ya Iran havina tija
Jul 06, 2026 10:24Idadi kubwa ya wapiga kura nchini Marekani wanaamini kuwa vita vya Donald Trump dhidi ya Iran havijazalisha tija inayostahili gharama zilizotumika. Kulingana na utafiti mpya wa gazeti la Financial Times, hali hiyo inaashiria jinsi mzozo huo unavyozidi kudhoofisha uungaji mkono kwa mtawala huyo kuelekea uchaguzi wa katikati wa muhula mwezi Novemba.
-
Ubelgiji yalaani FIFA kuhusu kuruhusiwa kwa mshambuliaji wa Marekani licha ya kadi nyekundu
Jul 06, 2026 07:32Shirikisho la Soka la Ubelgiji limeonyesha ghadhabu kubwa kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, kumruhusu mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, kushiriki katika mechi muhimu ya hatua ya 16 bora dhidi ya Ubelgiji siku ya Jumatatu, licha ya mchezaji huyo kuonyeshwa kadi nyekundu katika mzunguko uliopita.
-
Makundi ya Ulaya yanayopinga ubeberu yawasili Iran kwa mazishi ya Kiongozi Shahidi
Jul 03, 2026 03:53Misafara ya wanaharakati wanaopinga ubeberu, wasomi, waandishi wa habari na wawakilishi wa vituo vya Kiislamu kutoka kote barani Ulaya inaendelea kuwasili Tehran kushiriki katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kushtukiza la Marekani na Israel.
-
Bayer, kampuni ya Ujerumani, yahusishwa na silaha za kemikali za Israel nchini Lebanon
Jul 02, 2026 03:25Kampuni kubwa ya dawa na kemikali ya Ujerumani, Bayer, imeshutumiwa kwa kusambaza fosforasi nyeupe na glyphosate inayotumiwa na jeshi la Israel katika mashambulizi yake nchini Lebanon, na kuibua maswali mapya kuhusu mnyororo wa usambazaji wa silaha zilizopigwa marufuku zinazotumika katika uchokozi huo kuua raia wa Lebanon.
-
Korea Kaskazini yaituhumu Japan kujigeuza ‘Taifa la Vita’ kufuatia mazoezi ya kijeshi na Marekani
Jun 30, 2026 03:40Korea Kaskazini imekosoa vikali mazoezi ya kijeshi yanayoendelea kati ya Marekani na Japan, ikiituhumu Tokyo kutumia hali ya sasa ya dunia iliyojaa misukosuko kama kisingizio cha “kujihalalishia mabadiliko yake kuwa taifa la vita.”
-
Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden
Jun 28, 2026 09:47Maandamano makubwa ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yamefanyika nchini Sweden yakilaani pia jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.