-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kushiriki vita dhidi ya Iran
Mar 17, 2026 04:43Kansela wa Ujerumani, amejibu ombi la Donald Trump la kutaka ushiriki wa Berlin katika operesheni ya kijeshi ya Marekani katika Lango Bahari la Hormuz, na kusema wazi kuwa Ujerumani haitashiriki katika vita dhidi ya Iran.
-
Daily Mail: Trump amekwama kwenye kinamasi
Mar 16, 2026 10:32Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa Iran imethibitisha kuwa ina nguvu na imejiandaa vizuri sana kuliko vile ilivyokuwa ikidhaniwa na Marekani.
-
Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 16, 2026 10:30Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.
-
Guardian: Dunia itakumbwa na mgogoro wa chakula vita dhidi ya Iran vikiendelea
Mar 16, 2026 04:38Mkuu wa moja ya kampuni kubwa zaidi za mbolea duniani amenukuliwa na gazeti la The Guardian akionya kuwa, usambazaji wa chakula duniani utaathiriwa vibaya sana mwaka huu iwapo vita dhidi ya Iran vitapanuka na kuendelea.
-
New York Times: Uwezo wa Iran ni zaidi ya alivyotarajia Trump
Mar 16, 2026 03:58Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz
-
Dkt Tedros: Kushambulia kwa mabomu hospitali na shule ni jinai ya kivita
Mar 15, 2026 05:12Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Duniani (WHO) amelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa mabomu hospitali na shule, akisisitiza kuwa hujuma hizo si kitu kingine ghairi ya jinai za kivita.
-
Uvamizi Dhidi ya Iran na Nyufa Ndani ya Ikulu ya Marekani
Mar 15, 2026 05:08Taarifa mpya imefichua kuwa, makamu wa rais wa Marekani, J.D. Vance, tokea alikuwa na mashaka kuhusu vita dhidi ya Iran na hadi sasa anaendelea kupinga mitazamo ya Rais Trump kuhusu vita hivyo ambavyo viko katika wiki ya tatu sasa vimeigharimu Marekani mabilioni ya dola.
-
Ufaransa yamkaidi Trump, yasema manowari zake hazitashiriki katika vita dhidi ya Iran
Mar 15, 2026 04:39Wizara ya Ulinzi ya Ufaransa imetangaza katika taarifa rasmi kwamba manowari za nchi hiyo hazitashiriki katika operesheni yoyote ya mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
The Economist: Pipa la mafuta ya petroli litafikia dola 200
Mar 15, 2026 02:07Gazeti la masuala ya kiuchumi la The Economist limeripoti kuwa gharama ya pipa moja la mauta ya petroli itafikia dola 200 iwapo vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vitaendelea.
-
Maseneta wa Marekani wataka kufukuzwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo kwa kuua wanafunzi shule ya msingi Minab
Mar 14, 2026 04:00Maseneta Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wa Marekani wametoa wito wa kutimuliwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth, kwa sababu ya kutenda jinai ya kuua watoto wadogo wa shule ya msingi nchini Iran.