-
Kucheza na moto kwa Trump kunaweza kusababisha mzozo kamili kanda ya Asia Magharibi
Jan 30, 2026 12:00Iran imetangaza kwamba kauli za "kuchochea vita" za Donald Trump zinazidisha mvutano wa kikanda.
-
Serikali ya Trump yalaaniwa kwa ukatili wa kumnyima mzazi Muislamu fursa ya kumzika mwanawe
Jan 30, 2026 07:45Uamuzi wa shirika la Uhamiaji na Forodha la Marekani (ICE) wa kukataa kutoa ruhusa ya muda ya sababu za kibinadamu kwa mzazi aliyeko kizuizini kuhudhuria mazishi ya mwanawe kimelaaniwa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii huku baadhi yao wakiuelezea uamuzi huo kuwa ni "mchafu na wa kinyama".
-
Guterres ataja vipaumbele vyake katika mwaka wake wa mwisho kama Katibu Mkuu wa UN
Jan 30, 2026 03:12Katika wakati ambapo mivutano ya kimataifa inaongezeka huku hatua zisizo na tahadhari zikisababisha madhara hatari, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa kuimarishwa juhudi za amani, haki na maendeleo endelevu.
-
China yaitahadharisha Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran
Jan 29, 2026 12:46China imetahadharisha kwamba hatua hatari za kijeshi zinazoongozwa na Marekani dhidi ya Iran zinaweza kuyumbisha eneo la magharibi mwa Asia na kuisukuma kanda hiyo kwenye matokeo yasiyotabirika.
-
Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani
Jan 29, 2026 07:00Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekiri kuwa sheria ya msituni ndiyo inayotawala hivi sasa duniani na kusisitiza kwamba kuna udharura wa kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la umoja huo.
-
Waislamu Canada wataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu
Jan 29, 2026 06:36Viongozi wa Waislamu nchini Canada wametoa wito wa kukomeshwa kwa matamshi ya chuki na uenezaji wa hofu dhidi ya Uislamu na Waislamu, huku nchi hiyo ikijiandaa kuadhimisha miaka tisa tangu kutokea shambulio baya dhidi ya msikiti katika mkoa wa Quebec.
-
Utafiti: UK inaendelea kusakamwa na uchochole
Jan 29, 2026 06:05Umaskini nchini Uingereza umezidi kuwa mbaya, huku idadi kubwa ya watu wakiishi katika hali ngumu wasiweze kumudu mahitaji yao ya msingi, hayo ni kwa mujibu utafiti uliofanywa na shirika moja la kutoa misaada.
-
Mdororo wa uchumi US; UPS kuwafuta kazi watu 30,000
Jan 29, 2026 03:24Kampuni ya kusafirisha mizigo ya United Parcel Service (UPS) ya Marekani imetangaza kwamba, itawatimua kazi watu 30,000 zaidi mwaka huu, katika juhudi za kupunguza ushirikiano wake na shirika la Amazon, ikiwa ni sehemu ya kutekeleza mpango wake wa 'uokoaji' na kubana matumizi.
-
Rais wa Ukraine aliagiza jeshi liue 'makumi ya maelfu ya Warusi'
Jan 28, 2026 10:19Jeshi la Ukraine linapaswa lijikite katika kusababisha vifo vingi zaidi kwa Russia kadiri iwezekanavyo. Hayo yametamkwa na Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky na kusisitiza kwamba, idadi ya vifo 50,000 vya Warusi kwa mwezi ni "kiwango bora" ambacho wanajeshi wa Ukraine wanapaswa wajitahidi kukifikia.
-
The Guardian: Hofu inayotanda Minneapolis inafanana na ya vita vya wenyewe kwa wenyewe
Jan 28, 2026 04:29Makala ya uchambuzi iliyochapishwa na gazeti la Uingereza la The Guardian imefafanua ilichokielezea kuwa ni eneo la kutisha huko Minneapolis, Minnesota, nchini Marekani na kusema kwamba ni wakati muhimu unaofichua sura ya ufashisti wa wazi chini ya utawala wa Rais Donald Trump.