-
The Guardian: Hofu inayotanda Minneapolis inafanana na ya vita vya wenyewe kwa wenyewe
Jan 28, 2026 04:29Makala ya uchambuzi iliyochapishwa na gazeti la Uingereza la The Guardian imefafanua ilichokielezea kuwa ni eneo la kutisha huko Minneapolis, Minnesota, nchini Marekani na kusema kwamba ni wakati muhimu unaofichua sura ya ufashisti wa wazi chini ya utawala wa Rais Donald Trump.
-
Obama na Clinton wawahimiza Wamarekani 'kusimama' huku maandamano yakiendelea nchini Marekani
Jan 27, 2026 10:56Marais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na Bill Clinton, wamewahimiza Wamarekani kusimama na kutetea kile walichokiita "maadili ya msingi ya Marekani" baada mawakala wa uhamiaji wa Shirikisho huko Minneapolis kumpiga risasi na kumuua muuguzi wa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), Alex Pretti.
-
Rais wa zamani wa FIFA: Msiende Marekani kutazama Kombe la Dunia kutokana na wasiwasi wa kiusalama
Jan 27, 2026 10:26Rais wa zamani wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) amewataka watazamaji wa Kombe la Dunia wasisafiri kwenda Marekani kutokana na wasiwasi wa kiusalama.
-
Katibu Mkuu wa UN: 'Sheria ya Msituni' inachukua nafasi ya utawala wa sheria kimataifa
Jan 27, 2026 06:39Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameonya kwamba nidhamu ya dunia inazidi kumomonyoka huku utawala wa sheria ukifutwa, na nafasi yake kuchukuliwa na kile alichokiita "sheria ya msituni."
-
Katibu Mkuu wa NATO: Ulaya 'iendelee kuota' kama inadhani inaweza kujilinda bila ya US
Jan 27, 2026 06:38Katibu Mkuu wa NATO, Mark Rutte amesema, Umoja wa Ulaya, EU bali hata Ulaya nzima haina uwezo wa kujilinda bila ya Marekani na kusisitiza kuwa, nchi wanachama zitalazimika kutumia hadi 10% ya Pato lao la Taifa kwa ajili ya shirika hilo la kijeshi, ambayo inaweza pia isitoshe.
-
Russia yaionya Marekani kuhusu chokochoko yoyote dhidi ya Iran
Jan 27, 2026 02:35Serikali ya Russia imeionya Marekani kuhusiana na kuanzisha chokochoko yoyote ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Waandamanaji wakusanyika Marekani baada ya afisa wa uhamiaji kutekeleza mauaji
Jan 27, 2026 02:33Umati wa watu umekusanyika Minneapolis, Marekani kupinga uwepo wa maafisa wa uhamiaji wa shirikisho katika jimbo hilo, baada ya kupigwa risasi na kuuawa Alex Pretti mwenye umri wa miaka 37.
-
Ugaidi wa ndani nchini Marekani na mtazamo wa undumakuwili wa Washington
Jan 27, 2026 02:32Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani ametaja aina yoyote ya uchochezi au utekelezaji wa vurugu dhidi ya serikali kuwa ni mfano wa ‘ugaidi wa ndani’.
-
Medvedev: Yumkini mataifa mengi zaidi yakaunda silaha za nyuklia
Jan 26, 2026 10:11Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia, Dmitry Medvedev amesema kuna uwezekano mataifa zaidi kuzalisha silaha za nyuklia kutokana na kuongezeka ukosefu wa utulivu duniani.
-
Rais wa Shirikisho la Soka Ujerumani: Ni wakati wa kujiondoa kwenye Kombe la Dunia FIFA 2026
Jan 26, 2026 07:01Rais wa Shirikisho la soka la Ujerumani (DFB), amesema ni wakati wakati wa kujiondoa kwenye Kombe la Dunia la 2026 kutokana na hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump.