-
Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba
Mar 14, 2026 04:35Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Akiba ya mafuta ya Marekani yapungua hadi kiwango cha chini kabisa katika miaka 44
Mar 14, 2026 03:48Akiba ya mafuta ya Marekani imepungua hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 44 iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani.
-
Rais wa Belarus: Wavamizi Marekani na Israel hawajafikia malengo yao
Mar 14, 2026 03:45Rais Alexender Lukashenko wa Belarus amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa wavamizi hao hawajifikia hata lengo lao moja.
-
Japan: Hakuna Mpango wa Kutuma Jeshi Lango Bahari la Hormuz, Wajapani wapinga vita dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 03:44Waziri Mkuu wa Japan amesema wazi katika kikao cha bunge kwamba nchi yakehaina mpango wa kutuma vikosi vya kijeshi kwa ajili ya operesheni za kuondoa mabomu ya baharini katika Lango Bahari la Hormuz.
-
Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 03:29Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.
-
Mjumbe wa UN: Walioua watoto wa shule ya msingi ya Minab wapandishwe kizimbani
Mar 13, 2026 08:05Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Elimu Duniani, Gordon Brown, amesema watoto hawapasi kufanywa wahanga wa vita, na shule na hospitali hazipaswi kushambuliwa.
-
Reuters: Hitilafu zanatikisa White House; Trump anatafuta njia ya kujinasua katika kinamasi cha vita na Iran
Mar 13, 2026 07:55Shirika la habari la Reuters limemnukuu mmoja wa washauri wa Rais wa Marekani akisema kuwa hitilafu kubwa zimepamba moto ndani ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, kuhusu mwelekeo wa vita vya sasa na Iran.
-
Wasomi na watu mashuhuri walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 13, 2026 04:09Wasomi na watu mashuhuri kutoka maeneo mbalimbali ya dunia wamelaani mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel
Mar 13, 2026 04:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.
-
Baqaei: Israel imeiburuta Marekani kwenye vita na Iran, Wamarekani wanapaswa kulijua hili
Mar 13, 2026 03:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema wananchi wa Marekani wanapaswa kujua kwamba utawala haramu wa Israel umeiburuta Marekani na kuitumbukiza kwenye vita na Iran.