-
Zilzala ya kisiasa yatishia Kombe la Dunia 2026... Ujerumani yadokeza kususia au kufutwa mashindano hayo
Jan 21, 2026 04:17Mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yaliyopangwa kufanyika msimu ujao wa joto Amerika Kaskazini, yanakabiliwa na tishio lisilo la kawaida, baada ya sauti nyingi nchini Ujerumani kuibuka zikitaka kususiwa Kombe la Dunia la mpira wa miguu," na hata kutoa wito wa kufutwa kabisa mashindano hayo ili kupinga sera za Rais wa Marekani, Donald Trump.
-
Gazeti la New York Times laorodhesha "uongo" wa Rais Trump katika mwaka mzima
Jan 21, 2026 04:15Gazeti la New York Times linaamini kwamba katika mwaka wa kwanza wa muhula wake wa pili, Rais wa Marekani Donald Trump amesema uongo mwingi, kutoa madai yasiyo na msingi na upotoshaji ili kuhalalisha mabadiliko na kudanganya kuhusu mafanikio katika maeneo ya uchumi, uhamiaji na kadhalika.
-
Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani
Jan 20, 2026 23:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitizia tena haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Trump atishia kuiwekea Ufaransa ushuru wa 200% kumshinikiza Macron ajiunge na 'Bodi ya Ghaza'
Jan 20, 2026 23:08Rais wa Marekani Donald Trump amemkosoa vikali Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa kukataa kujiunga na kile kinachoitwa "Bodi ya Amani" ya Washington kwa ajili ya Ghaza, huku mpango huo ukikabiliwa na ukosoaji mkubwa wa wataalamu wa sheria za kimataifa wanaouelezea kuwa ni upanuzi wa ukaliaji wa mabavu wa eneo hilo la Palestina unaofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Mchambuzi wa tiba wa CNN: Mpimeni Trump uzima wa akili
Jan 20, 2026 23:04Kufuatia vituko alivyofanya hivi karibuni Donald Trump kwa barua aliyomwandikia Waziri Mkuu wa Norway, Dk. Jonathan Reiner tabibu na mhadhiri katika Chuo Kikuu cha George Washington ametaka rais huyo wa Marekani apimwe uzima wa akili.
-
Waislamu wa India wapinga kuondolewa kwenye orodha ya wapiga kura kwa kisingizio kwamba wamekufa
Jan 20, 2026 06:52Waislamu wa India wamefanya maandamano katika mji wa Ahmedabad, kupinga kuondolewa majina yao kwenye orodha ya wapiga kura kwa kisingizio kwamba wamefariki dunia, ingawa bado wako hai.
-
Viongozi mashuhuri wa kidini Marekani walaani sera ya kigeni ya serikali ya Trump
Jan 20, 2026 06:51Viongozi kadhaa wakuu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani wametoa taarifa wakikosoa vikali sera ya mambo ya nje ya Washington na kusema kwamba nafasi yake ya kimaadili katika jukwaa la kimataifa inatiliwa shaka, kuhusiana na migogoro kama ya Ukraine, Venezuela na Greenland.
-
Michael McCaul: Uvamizi wa Marekani dhidi ya Greenland una maana ya vita na NATO/The Economist: Uchoyo wa Trump utaiangamiza NATO
Jan 20, 2026 02:03Mbunge mmoja wa Marekani ameutaja uvamizi wa nchi hiyo dhidi ya Greenland kuwa utakuwa "vita dhidi ya Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO."
-
Greenland na mantiki ya ubabe; ushuru, wenzo wa mashinikizo ya kisiasa ya Trump
Jan 18, 2026 23:26Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa, kuanzia Februari Mosi, ataweka ushuru wa 10% kwa nchi zinazopinga kuunganishwa Greenland na Marekani na kwamba, kuanzia tarehe Mosi Juni ushuru huo utaongezwa na kufikia 25%.
-
Pentagon kutuma wanajeshi 1,500 kukabiliana na waandamanaji Minnesota
Jan 18, 2026 23:10Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) imewaamuru wanajeshi wapatao 1,500 walio kazini wawe tayari kutumwa kwenda kukandamiza maandamano huko Minnesota.