-
Rais wa muda: Venezuela ina haki ya kujenga uhusiano na Iran
Jan 18, 2026 23:08Rais wa uongozi wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez, amethibitisha tena kwamba Caracas ina haki ya kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na China, Cuba, Iran na Russia na kupinga uingiliaji wa Marekani. Rais wa serekali muda ya Venezuela pia amekosoa hatua za kichokozi za Washington dhidi ya nchi hiyo.
-
Wakazi wa Greenland waandamana kupinga vitisho vya Trump
Jan 18, 2026 06:54Wakazi wa Greenland walifanya maandamano jana Jumamosi kupinga azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kutaka kisiwa hicho cha Aktiki kikabidhiwe Washington, wakisisitiza kuwa wakazi wa eneo hilo wanapasa kuachwa waamue mustakabali wa kisiwa hicho.
-
Trump auza viti vya 'Bodi ya Amani' Gaza dola bilioni 1
Jan 18, 2026 06:54Rais wa Marekani, Donald Trump amezitaka nchi mbali mbali duniani zilipe angalau dola bilioni 1 ili kusalia katika "Bodi ya Amani" ya Gaza, baada ya kumalizika muhula ulioanishwa wa miaka mitatu.
-
Wananchi Pakistan, Iraq waandamana kuiunga mkono Iran, Kiongozi Muadhamu
Jan 18, 2026 03:34Wananchi katika nchi za Pakistani na Iraq wamefanya maandamano kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mbele ya vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni vilivyofadhiliwa na Marekani, Israel na madola mengine ya kibeberu.
-
NGOs za Uingereza zaitaka serikali kusitisha mauzo yote ya silaha kwa utawala wa Israel
Jan 17, 2026 23:07Muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya Uingereza (NGOs) umeitaka serikali ya nchi hiyo kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel, na kuonya kuwa silaha zinazotengenezwa Uingereza ziko hatarini kutumika katika mauaji ya kimbari na kuzidi kumomonyoa sheria za kimataifa.
-
Uwezekano wa Marekani kuishambulia Mexico na nchi nyingine za Amerika Kusini
Jan 17, 2026 06:23Kufuatia kuongezeka vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya Mexico, maafisa wa Wizara ya Vita ya Marekani wametangaza kuwa uwezekano wa kufanyika operesheni za kijeshi nchini Mexico umeongezeka.
-
Marekani yaitengea Israel dola bilioni 3.3 nyingine za kufanyia jinai duniani
Jan 17, 2026 05:26Bunge la Marekani limepasisha muswada wa dola bilioni 3.3 kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao hivi sasa dunia nzima inalaani jinai zake kubwa katika maeneo tofauti hasa huko Palestina na hususan katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kwa nini Wamarekani waliowengi wanapinga wazo la Marekani kuimiliki Greenland?
Jan 16, 2026 11:50Utafiti mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga vikali wazo la kuihodhi Greenland.
-
Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran
Jan 16, 2026 03:49Gholamhossein Darzi, Naibu Mwaklishi wa Kudumu wa Iran Umoja wa Mataifa ameikosoa vikali Marekani katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ghasia na machafuko yaliyoungwa mkono na nchi ajinabi dhidi ya Iran.
-
Russia: Badala ya Ulaya kuzungumzia hali ya Iran ifuatilie kuiokoa Greenland
Jan 15, 2026 06:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema, badala ya viongozi wa Umoja wa Ulaya, EU kutoa matamshi ya kuzungumzia hali ya Iran, ingekuwa bora kama wanegejikita kushughulikia kadhia ya Greenland, ambayo sasa hivi Marekani inafanya juu chini kuitia mkononi.